"Ee Mungu wetu turehemu Watanzania ambao tunaangamia kwa kupotelewa na ndugu zetu! tusaidie!. warehemu na marehemu wetu! Yamkini tumetenda mambo ambayo yamesababisha uruhusu mauti kwa ndugu zetu! sisi ni wanadam tunahitaji msaada wako! tusaidie kwani sote tumeumbwa na wewe Mungu wetu! na tuna...
nashukuru kwa ushauri! lakini waliniambia nikitoa damu wakati ninatatizo hilo hiyo siyo njia ya kuondoa tatizo kwani itajitengeneza mpaka kiwango kilekile!
Wengine sasa ndiyo tunalia na kusaga meno na kujuta sana kwa utawala uliopo sasa sijui kilio kijacho kitakuwaje. ila ni bora kwenda kujaribu usikokujua kuliko kwenda kule unakokufahamu kwa ubaya!.
ukiambiwa mwanaume huyu anaukimwi na mwingine haijulikani ya kuwa ana ukimwi au hana ukiambiwa...
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani serikalini changia mawazo kama...
wabunge mwaka uliopita walipitisha bajeti ya kupandisha watumishi ngazi na kuajiri wapya lakini miezi michache baada ya bunge la bajeti kumalizika ikiwa na bajeti imeshapitishwa watumishi hawakupandishwa na ajira zikakatwa kwa asilimia kubwa tu. swali langu kinachopitishwa na wabunge siyo cha...
hapa inatakiwa ccm wakate rufaa ili lema asivuliwe ubunge kwakuwa kuvuliwa kwake kutaifanya chadema izidi kupaa! kama jimbo laililokuwa linashikiliwa na ccm chadema wamelichukua je jimbo ambalo cdm ilikuwa inalishikilia je?
mie nilijuwa kuwa itakuwa hivyo kutokana na historia ya bongo ni kuwekana kwenye presha halafu inakuwa hivi. walisema usiposajiri simu mwisho tarehe furani walioitaja ilipofika wakaongeza muda na baadae kimyaaaaaaaaaaaa.
wakaja na noti mpya ambazo walisema mwisho mwezi wa sita mwakajana kutumia...
Madaktari hawa hawapendi kufanya kazi sasa ili wasifanye kazi wanasingizia mgomo. na inawezekana wana roho za kichawi za kufurahi watu wanapokufa!. Tumwogope Mungu kwakuwa tumeamliwa kuitii kila mamlaka. mamlaka imewaweka nyie muwe madaktari ili mfanye kazi ya kutibu watu. pia mnao waumiza ndiyo...
ukiachana na kuwa wengine hapo umewapendekeza ambao siyo wanachama wa chadema pia kuna baadhi ya watu kwa sasa ni wabunge ila mwaka 2015 hawatakuwa wabunge kwakuwa hata ndani ya chama hawata shinda labda kama watapata uteuzi mala mbili kwanza kuteuliwa kuwa wabunge na pili kuteuliwa kuwa mawazili.
aise kwani ili waseme kombi imekubali inatakiwa DDC au CCC nimeona yeye kapata matokeo haya
S1071/0102
F
JESCA JOHN MAGUFULI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
WATAWALA WA TANZANIA NADHARAU ZAO KWAWANANCHI.WANAOWAONGOZA!? ........(NUKUU
YA LEO!!).......
Anna Makinda - Tumeongeza posho kwa wabunge kwasababu
maisha ya Dodoma yamekua magumu sana.....
Basil Mramba Waziri - Ndege ya Rais Lazima Inunuliwe ikiwezekana hata
Wananchi...
madereva wa daladala za mitaani kwetu asilimia kubwa hawajafikia umri huo hapo inakuwaje? ofisi nyingi watu huwa wanakwenda kuomba kazi ya udereva wakiwa wanaleseni tu wala hawana magari hapo unasemaje! ubaguzi wa aina yoyote ukiwemo ubaguzi wa kijinsia ni kosa kubwa na linakuwa linakiuka katiba...
Ndugu zangu nawashukuru sana kwa ushauli mlionipa jana, Pia namshukuru Mungu kwa kunitoa hofu siku ya jana jioni!. jana jioni wekundu wa msimbazi waliingia uwanjani. nilihofu kwakuwa zilipita siku kadhaa bila kuwaona kitu ambacho siyo kawaida yangu. Hii inatokana na mimi kutumia kalenda kupanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.