Mkuu kila mgodi unasheria zake za usalama hakuna mgodi unaoruhusu mtu kuzama akiwa amelewa hata geti la mgodi husogelei ila chaajabu zaidi ukienda mererani mjini ukirudi umelewa hakuna anaekuuliza unaingia ukutani fresh
Ukuta mzima umezungushwa taa na getini kuna wanajeshi si chini ya kumi na...
Habari za jioni wakuu...!
Naandika haya nikiwa nipo ndani ya ukuta wa mererani mda huu,kama mchimbaji na pia mfanya biashara ya kibanda(duka) ndani ya ukuta.
Toka ukuta ujengwe tumekua tukipitia wakati mgumu sana katika biashara na pia uchimbaji ambapo tumeingiwa na hofu juu ya ustawi wetu...
Huo utafiti wako rudi darasani mzee,mimi ni mmasai pure na nmekulia umasaini
Kukuhakikishia pia mke wangu kajifungua mapacha miezi kazaa iliyopita
Note;wamasai hatuna kafara ya damu ya binadamu katika kabila la kimasai kumwaga damu ya binadamu tunaita ENYAMU
Inaaminika kwamba ukimwaga damu ya...
Julius mtatiro anasema hajaona jambo lolote zuri aliloitendea nchi yake miaka ya kadhaa sasa,kwahiyo anaona upinzani si kitu cha maana?sasa
Kama hajui kama upinzani unatija gani ktk taifa hili na haoni mchango wake huku sisi watanzania tumeona mchango mzr hasa kutoka kwake akiwa kama mpnzani...
Habari wanajamvi
Naandika Haya nikiwa ndani ya ukuta wa mererani kwa machungu kutokana na usumbufu unaotukumba sisi tunaojipatia kipato chetu kutokana na madini ya Tanzanite.
Serikali ilijenga ukuta kuzunguka migodi yote ili kudhibiti upotevu wa kodi kupitia utoroshwaji wa madini uluiokua...
Asante mkuu,kama kweli kuna uchawi mbn kuna watu wanachukiwa tanzania nzima kwa kusababishia watu shida na matatizo? Inamana tanzania nzima kakosekana mchawi wa kuwaloga?
Au uchawi wao ukoje [emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.