Dr nieleweshe hapa. Nina vifaranga chotara wamemaliza wiki nne. Cha ajabu niliona wamepatwa na ndui wakiwa na wiki tatu. Nikapewa tetracycline nikawapa kwa siku tano. Leo tena nashangaa bado ugonjwa upo.
Pia naomba kujua ugonjwa huu huwashika vifaranga/kuku wa umri gani?
Abuu bin Umar ni vibaya Sana mtu kakosea kutuma hela au kitu chochote kikakufikia wewe ukachukua Hali ukijua kuwa amekosea.. Last week nilitumiwa hela ya kupeleka rambirambi msibani namba ikakosewa ikaenda kwa jamaa mwingine pamoja na kumweleza ni hela ya nini bado aliichukua. Sasa najiuliza...
habari za hapa jf, ninahitaji kuku wa kienyeji/chotara wale ambao ndio kwanza wameanza kutaga au ambao wamebakiza kama wiki 3 waanze kutaga. niko maeneo ya Airport DSM. naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.