Search results

  1. I

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    kijiji cha kanyabwenda na vitongoji vyote ni cdm
  2. I

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    kiguzi na vitogoji vyote 6 ni cdm
  3. I

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    kata moja ya karambi, vjj vyote na vitongoji vyake vimechagua CHADEMA. ccm nawaonea huruma.
  4. I

    Rasimu mpya ya elimu 2011

    Darasa la saba iwe sita(6) sule ya upili iwe miine, baada ya hapo wajiunge na chuo kikuu au veta.
  5. I

    Migomo mipya vyuoni.

    Haya bhana lkn mwisho wa mwisho wa mwisho nature will select.
  6. I

    Migomo mipya vyuoni.

    Mapinduzi mengi duniani yanaanzishwa na wasomi, hacha woga kijana la sivo utakufa maskini.
  7. I

    Migomo mipya vyuoni.

    Ongezeko la seat allowance zaid ya mara tatu ya mwanzo, inasikitisha sana. Nawaomba wanazuoni wanaopata elimu for liberation to think about this. Wabunge wanadai kuongezeka kwa gharama ya maisha, je wanafunzi ela watapata wapi kwa mfumuko huu wa bei? Je raia wakawaida wanaesabiwa wapi?. Zito...
  8. I

    Kipi ni chuo bora hapa Tanzania?

    Chuo bora ni Udom kikifuatiwa na SUA.udsm haifai kuingia ata 5 bora tatizo rank hazifuati vigezo.
  9. I

    Kipi ni chuo bora hapa Tanzania?

    Chuo bora ni Udom.
  10. I

    Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

    Ushauli kwa vijana ambao hamujaoa zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma kitabia(bad behaviours) , kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.
  11. I

    Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

    Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.
  12. I

    Jamani huyu mpenzi ananipenda au la!

    &lt;br /&gt;<br /> &lt;br /&gt;<br /> nashukuru sana, nitafanyia kazi huu ushauri. Kwani kazi niliyo nayo ningumu mno.
  13. I

    Jamani huyu mpenzi ananipenda au la!

    Jamani sijui ata nifanyeje? Kwani huyu msichana nampenda sana, ndugu zangu.
  14. I

    Jamani huyu mpenzi ananipenda au la!

    Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini. Very sereous nisaidieni kwani huyu msichana ninampenda sana.
  15. I

    Jamani huyu mpenzi ananipenda au la!

    Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini very sereous
  16. I

    Udom, education

    Jamaa muongo!.
Back
Top Bottom