"The world changes"ni sisi wabongo ooh msagaji halafu kwenye kuta nne unajua mwenyewe ukitoka nje twajifanya waswahilina na kashfa kibao elimikeni ni mambo ya kawaida hayo kwa dunia ya sasa hata mtoto akizaliwa habaki kuwa na mwezi anakuwa
Tuachane na wizi wa mali za bongo JPM inabidi awe mkweli kwa Watanzania Cheti cha Bashite kwanza maana raia 10000 wamepoteza haki zao kwa vyeti feki lakini mpaka sasa sijaona kile cha Bashite kwa hivyo basi Viongozi wote wezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.