Wadau kero yangu ni kuhusu tiketi za VIP B zinakatwa kupitiliza idadi/uwezo wa jukwaa hivyo kupelekea mashabiki kusimama kwa kukosa nafasi. Kila ninapokuja hapa hasa zikicheza hizi timu kubwa simba/yanga lazima ugomvi utokee. Hii inasababishwa na management kushindwa kusimamia vyema zoezi la...
Tanesco kwanini mmeweka madawati ya dharura simu zinapigwa hazipokelewi zikipokelewa watu wa dharura hawafiki eneo la tukio watz tunateseka sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndugu yangu nakuona wewe ni mjuzi sana wa maandiko katika ufahamu wa mwili
Kwasababu mimi si mtoto tena katika kumjua Yesu basi naishia hapo maana bado chakula kigumu hukiwezi
Mkuu kwa kutulia kabisa naomba usome hayo maandiko na uniambie kweli wewe umekutana na YESU
Maana naona mpaka sasa usomapo agano la kale ule utaji wakukalia moyoni nawe usipate kujua kuwa YESU KRISTO huo utaji huondolewa
1cor 3:16
Kwakweli mleta mada pole sana naona bado hujakutana na Bwana Yesu.
Nakushauri mimi niliye mdogo ukubali Bwana Yesu akuokoe nawe upate kuhesabiwa haki kwa sheria ya imani uachane na sheria ya dhambi iletayo mauti ndani yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.