Search results

  1. M

    Misri (Egypt) most powerful country in Africa Tanzania we are 17

    Mungu ibariki Tanzania,Mungu libariki jeshi letu tukufu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
  2. M

    Misri (Egypt) most powerful country in Africa Tanzania we are 17

    Watu wanafikiri ni rahisi nchi kuwa salama kama hivi!
  3. M

    Misri (Egypt) most powerful country in Africa Tanzania we are 17

    Zambia,Zimbabwe,Uganda na Kenya?ni upuuzi kufikiria kirahisi kwenye karne hii
  4. M

    JWTZ kwani ni lazima mazoezi yenu ya kukimbia muyafanyie humu mijini?

    Hongera jeshi letu tukufu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.Tunajivunia weledi wenu!Ni aibu kubwa kwa raia kulizungumzia vibaya!unazuzungumza mabaya ili hali unaishi humu humu,kwa amani unakula na kwenda chooni!!tuwapuuze!wanafikir ni rahisi tu kuwa na amani.Mungu ibariki Tanzania,Mungu...
  5. M

    Msaada anayeijua Tanga Tech

    Simba ndilo bweni alilokuwa akikaa rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete
  6. M

    Msaada anayeijua Tanga Tech

    Shule nzuri mazingira yake mazuri sana,inawezekana ikawa hiyo ndiyo shule ya serikali yenye mazingira mazuri kuliko zote baada ya Kibaha secondary
  7. M

    Msaada anayeijua Tanga Tech

    Tanga tech school, the first government sec school in Tanzania
  8. M

    Kenya South Sudan Conflict on Ilemi Triangle

    Tujitenge na hawa watu
  9. M

    VIDEO: Wakenya wadai Olduvai Gorge ipo Kenya!

    Hao nao waliokuwa wakihutubiwa na kuamini hotuba hiyo ni wendawazimu
  10. M

    JWTZ: Mashujaa waliojitolea kutulinda

    Shairi zuri, Mungu alibariki jeshi letu tukufu JWTZ
  11. M

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ni jeshi lenye weledi mkubwa na nidhamu ya hali ya juu. Moja kati ya majeshi bora kabisa ulimwenguni.Ripoti hii ni juhudi za watu wabaya wasiotaka kutambua juhudi ya jeshi letu
  12. M

    Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

    Ha ha ha sidhani kama atamzidi Tatu wangu wa Mbagala
  13. M

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Majeshi bora ni Misri(Egypt),South Africa,Tanzania (TPDF)na Ethiopia
  14. M

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Tena kwa watu waungwana na wazalendo wanatakiwa kuipuuza, kwani hata haina sifa ya kujadiliwa
  15. M

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Kujumuisha majeshi kama ya DRC, Uganda, Niger, Chad, Zimbabwe hata Kenya na kuiacha Tanzania ni upuuzi uliopitiliza kipimo
  16. M

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Propaganda hizo mm nilishawahi kuziona mtandaoni siku nyingi
Back
Top Bottom