Anaonesha jinsi gani ni Malaya wa kutupwa na wembamba wake umepitiliza ka sindano ya kushonea koti ndo maana anapitwa tu hadi anaanza kutongoza akaoge kwanza ndo arudi huku
Kwanza shetani mnamkosea sana unakuta limtu ndo tabia yake likiyafanya na yakalika shingoni linasingizia shetani, nahisi wewe zamani ulikuwa mzinzi sana ukaamua kukimbilia kanisani kufanya kama kichaka cha kujificha na umekaa muda mrefu bila kufanya tabia yako ndo maana unataka kurudisha...
Kaka ulichokisema ni ukweli usiopingika,but sasa hivi dunia yetu tunayoishi ndugu yangu imekuwa na magonjwa mengi mm naona bora uwe na mmoja wa mwisho wa mwezi ili mradi kuwepo na uaminifu baina yenu kuliko kuwa na michepuko ya kukusababishia madhara makubwa
Kwa upande wa pili inawezekana mimi mwenyewe Kuna dada mmoja tulikuwa na mahusiano nae mwaka 2006 pindi tuko shule ya msingi mwaka 2008 baba kahamishwa kikazi nikatengana nae hadi leo hatujaonana tena na zaidi kupika story kupitia simu na kuolewa na jeda,mwaka jana kanipigia simu ananiambia...
Mimi nahisi hii inatokana na mahusiano yenu yalivyo kuwa kipindi cha kutoana hiyo bikra lakini kama mahusiano yalikuwa ya kubabaisha eti amkumbuke aaah! Sidhani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.