Huwa nahuzunika sana pale ninapo muona ama kusikia kiongozi ninayemuheshimu anatoa lugha isiyo na staha tena mbele ya hadhira kuu ya watu anaowaongoza . unafikiri tunajifunza nini kutokana lugha isiyo na staha inatolewa na viongozi mbalimbali . Heshima huanza kwa mkubwa kwenda kwa mdogo . mdogo...
Assad ni kiongozi mzalendo. Ni vizuri asichukue maamuzi ya kuachia ngaz yanaweza kumkuta yaliyomkuta lowasa watu hawakawii kubadili magoli .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungependa jimbo la ubungo wananchi wa ubungo tumchague nani? Kuwa muwazi onesha interest zako ili sisi wananchi wa ubungo tukiona inafaa basi tumchague huyo unayemuona anatufaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wananchi hatuwahitaji wabunge wanaojikomba kwa utawala. Wakati jukumu la kutengeneza barabara sio kazi ya mbunge awe mpinzani ama wachama tawala. Kazi ya kutengeneza barabara ni ya serikali yenyewe. Mbunge anachukua maoni na maombi ya wanachi kwa serikali . Serikali itakavoona inafaa...
Habari nzuri ila haikuletwa kwa wakati unaofaa.
Ingekuwa vzr kama ungeleta tuhuma hizi pindi tu hizi unazoziita hujuma alizofanya huyu CAG zilipofanyika kuliko kusubiri mpaka kuwe na mgogoro dhidi yake na wengine ndio ulete hoja chafu dhaifu ya kumhusu yeye.
Nakuomba mleta mada uwe mzalendo...
Bila kusema ukweli je rushwa , utendaji mbovu utaisha? Hongera CAG . Magufuli hupenda kusema msemakweli ni mpenzi wa Mungu. Kama wewe ni mzalendo wa kweli wa nchi hii kwa kuikubali kauli hiyo ya Magufuli kutumiwa na CAG kwa vitendo toa like za kutosha ili tujue nani mzalendo wa kweli na nani...
Asante kwa elimu nzuri ulitoa bila upendeleo. Maana wengine wangemalizia kwa kutukaribisha PM kwa lengo la kufanya malipo juu ya elimu aliyotoa. Ubarikiwe sana mkuu
Cha muhimu ni kujua dhima ya biashara ni nini!
Kila anatarajia ama anayefanya biashara lengo aje kupata faida .
Na faida hutofautiana kulingana na ukubwa na thamani ya kile unachokiwekeza. Ukiwekeza kikubwa kunauwezekano mkubwa pia kupata faida kubwa mbeleni.
Na kumbuka uwekezaji wenye faida...
Sawa waache wainyoshe inchi maana ilikuwa imepinda .
Tafadhali msitoe povu kwa kunilaumu ila Nimejaribu kukomenti kwa kutumia maneno yaliyotumiwa na watu wengine ili kuonesha kuwa tupo kwenye raiti traki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.