Uongo , angalia sahihi ya prof: mkandala hapo kushoto as Mwenyekiti Wa baraza na ndalichako , ndalichako sio katibu Wa baraza ni waziri na waziri hasaini ktk cheti.
Huyo mtangazaji Mansoor jumanne ni mtu makini sana, namfaham personally.
Na alichukua tuzo za investigative journalism EJAT zilizopita pale Mlimani city mwaka huu na ikumbukwe katoka chuon just last year
Pascal mayala jinsi alivyotupa credit wana jf nimependa. Pia nimegundua kama we ni public figure na una id fake hapa jf basi tafuta na id ya ukweli il utoe credit vizuri as Pascal did. Najua wanahabari wengi wana id fake inakuwa ngumu ku cite jf. Bravo pascal umeiwakilisha jf
Sipo kuchochea chochote lakini elimu ya sasa inanitua mashaka kwa baadhi ya wanafunzi.
Mkuu utashi unepungua sana siku hizi. Utaashangaa yaani iunakuwa na public lekcha pale Nkrumah na unakuta wanafunzi ni wachache sana, sasa unajuiliza hawa wanafunzi Wa siku hizi nini kinaendelea vuchwanj...
Kamwe usijifanye unajua kila kitu ndo maana mwenye PhD Bado anaendelea kufanya tafiti sasa ww na bachelor yako unahisi unajua kila kitu ktk mayo masomo.
Any way, na mimi nikuulize WAKOLONI WALIPOKUJA AFRICA WAOIKUWA WANATUMIA CHAKULA GANI?
2. SPEECH ACTS KWA KISWAHILI INAITWAJE?
Kuna siku niko o- level ktk gari ile kufika pale makongo baada ya lile daraja la zamani kulikuwa na foleni kutokea njia panda kawe kuja mwenge.
Ss kukawa na magari mengine yanatanua Ndani ya shule ya msingi na kuja kuibukia soza kumbe mp kayaona. Kilichofata ni kukata fimbo ya mjohoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.