Ehee! aya bwana.. mafanikio katika maisha ayahusiani na kukalishwa katika mabenchi na kuanza kukaririshwa na teacher class wako! jamani bdo tu tuna ule ulimbukeni.. (soma sana uajiriwe uwe na maisha mazuri?) duu tanzania bado.
chama cha mapinduzi. na "CHAMA CHA 'DEMOCRACY NA MAENDELEO. KIPI CHAMA KINACHOPASWA KUPEWA LAWAMA NA KUPINGWA KWA 98%? tuwe tunaangalia mifumo sio mtu..
unaongelea "rock city.? au dar es salaam.. au aujui mwanza wanataka kuifanya kama dubai..wageni na wazawa wanatambua jiji hili ndo maana wengi ukimbilia uku.!
aya bwana! zitto na waheshmiwa woote.watanzania macho kwenu sijui mtawadanganya nini,, hongereni sana wana_TANZANIA kwa kuwa na akili timamu ya kuchanganua mambo kwa umakini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.