Chuki binafc za madaraka alikuwa Waziri mkuu akachafua,pia alikuwa mwanachama wa ccm mwaka Jana tu kwanin hakuyaxema alipokosa Urais ndo anataka kuvuruga serikali ya Rais wetu,anafkiri cc wananch n mbumbumbu?hatutaki hata kumckia tuu
Yeye ndo rais na wew ukiwa utafanya unayoyafikiria,rais aliepta wahanga hawakuwepo?mlixema?c mliendelea kula kuku na bia tu kweny makumbi ya starehe,hebu achen unafiki
Namuunga mkono makonda kwa ujasiri wake,amwogope wa msoga kawa nan yey? C alixema hagombei tena urais?kazi za kuleana kama mtoto wa mjomba zmeptwa na wkt tunaenda na mfumo,kumbe hata ukipewa madaraka unamwogopa hata Mwl wako?
Nilifiwa na mzazi wangu ambae alikuwa mtumishi nikiwa mdogo sana.Mpaka leo yapata miaka 18. Nimejaribu kufuatilia mirathi katika halmashauri husika nakaambiwa hakuwa anachangia mfuko wowote ,hivyo ni kosa la mwajiri na mwajiriwa.
Hivi ni kweli? Nifanyeje wadau?
Hapo umechemka co wte wanaochukua mikopo ni wasio nazo wengne n watumish so n halali ajenge/anunue gari na marejesho anacover vzr tu,labda ungetofautisha man
Vboko n kawaida xana xema kilichoharbu mzazi cku hz ametawala mpka ofcn na daraxan pia,me naona hata maofsa elimu raisi atawaonea tu chanzo cha watoto kufeli na maadili mabovu n wazazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.