Search results

  1. anthony kasile

    Gari Kama Jipu

    hahaaaaaa
  2. anthony kasile

    Mzimu wa Lowassa wazidi kumwandama Simba

    li nchi hili limejaa visasi tu yan nnavolichukia basi tu sina jinsi
  3. anthony kasile

    Viwanja vinauzwa Mwanza

    picha ya maeneo hayo vip ni Maeneo ya wilayani ama
  4. anthony kasile

    Ushauri:ITV,Azam tv,Channel 10 rusheni matangazo ya Bunge wananchi ikibidi tutawachangia

    Tutachangia hata kwa mpesa huwez kufanya umalaya ad utuzulum habar nzur za bunge
  5. anthony kasile

    Arusha: Waliokimbilia CCM waomba kurudi CHADEMA

    Wakae hukohuko maana monaban anakalbia kuvunja chungu
  6. anthony kasile

    Mzee Mwinyi sema neno moja, Roho za Watanzania zipone

    hawez mwnyi kusema lolote wakati vijana wake wako serikalini
  7. anthony kasile

    Waliokiuka Manunuzi ya Umma ya Mabehewa 25 ya TRL, Kufikishwa Mahakamani

    mwakyembe azolewe hakuna namna mwaka huu tutayaona mengi sana
  8. anthony kasile

    CCM waacheni wachaga waishi kwa amani!

    Naona wachaga tunazidi kusimangwa sana na kupigwa vijembe na hii serikal ya JPM ila ukwel ni kuwa tulianza kujielewa hata kabla Nyerere hajazaliwa. Tunachuma kwa haya masukuma tunajenga home kwanza sasa Magu anavoona ndugu zake mangosha wanachunga Mifugo anamind badala ya kuwapelekea elimu...
  9. anthony kasile

    Simu yangu niifanyeje wanajf ipone

    simu yangu aina ya tecno p5 nikiwasha data naikaanza kufungua browser inaleta kitu kinaitwa core service yan huwez access net kwa raha ikimalza inastack alafu ata kama kuna bando la mb100 halichukui hata dakka mbili linaisha na vitu vinajidownload lenyewe bila wewe kutaka nimesha refractory lakn...
  10. anthony kasile

    Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

    hahaaaa mkuu unanivunja mbavu huku
  11. anthony kasile

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    mwisho wa big result na mwsho wa madistinction haaaa
  12. anthony kasile

    Ukaguzi wa vyeti feki Serikalini umeanza rasmi, waanza na Walimu

    yupo halmashauri gani mkuu maana kunammoja naskia anaitwa jna hlo yupo ukerewe
  13. anthony kasile

    Kwanini Magazeti yanampuuza Kingwangalla?

    wapga mzigo akna magufuli enz zao walkuwa wanapga mzgo bla matangazo lakn waljulikana huyu mwehu anabeba wanahabari anaenda nao site hahaaaa ujana maji ya moto
  14. anthony kasile

    Gazeti la jana Mawio liliandika uongo wa Instagram (kuhusu DC Makonda), ombeni radhi now!

    huyo ni makonda wala hakuna ubsh kubenea hawezi kutudanganya waga ni mkweli siku zote
  15. anthony kasile

    Kauli aliyoitoa Monabang kwa wana Arusha anapaswa kuwekwa ndani

    we ndo unajidhalilisha na hujafuatilia kauli anazozisema monaban huku Arusha unadakia usiyoyajua
  16. anthony kasile

    Revealed: Kigogo wa Polisi Dar na Benki ya KCB matatani

    kova huyuhuyu ndo anawapa company yeye anaakulaga nao deals ndefu kova aswekwe rumande na mikengeza yake
  17. anthony kasile

    Kauli aliyoitoa Monabang kwa wana Arusha anapaswa kuwekwa ndani

    turudishe kivipi mkuu erythrocyte kwan ni mkopo kama ni mkopo tulimlpa kwenye sanduku la kura yeye avunje tu
Back
Top Bottom