Habari, nimefanyiwa Tohara wiki na nusu sasa lkn doctor aliniambia nyuzi zitatoka zenyewe na uume utajirudi vizuri lkn hadi sasa nyuzi hazijatoka,
Je nyuzi hutoka baada ya mda gani na hutoka zenyewe tu?
Na naona uume umejikaza je nikipona uume utarudi fresh?
Msaada.
Habari,
Nimefanyiwa Tohara wiki na nusu sasa lakini doctor aliniambia nyuzi zitatoka zenyewe na uume utajirudi vizuri lakini hadi sasa nyuzi hazijatoka.
Je, nyuzi hutoka baada ya muda gani na hutoka zenyewe tu?
Na naona uume umejikaza je nikipona uume utarudi fresh?
Msaada.
Nimefanyiwa tohara siku nne zilizopita daktari akaniambia bandage utatoa kesho, lkn nyuzi usizitoe zitatoka zenyewe, lakini nimekuja kutoa bandage nikakuta vile ameshona kama amekaza sana nyama ameivuta sana hadi uume umekuwa mfupi.
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?
Nimefanyiwa tohara siku nne zilizopita daktari akaniambia bandage utatoa kesho, lkn nyuzi usizitoe zitatoka zenyewe, lakini nimekuja kutoa bandage nikakuta vile ameshona kama amekaza sana nyama ameivuta sana hadi uume umekuwa mfupi.
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?
Leo katika shughuri zangu nikaletewa barua na mkurugenzi wa Misungwi ikinitaka nilipe 50000 kwa ajili ya mwenge,nimejiuliza sana yaani nilipe
Leseni ya biashara,
Ushuru,
Kodi ya jengo,
Kodi ya kiwanja,
Takataka
Umeme
Maji
Halafu tena nilipie Mwenge kama ni wa kula.
Sent using Jamii Forums...
Nataka kwanza kujibu swara la kuongeza wala kupunguza,hapo hakuna sehemu iliyoongezwa wala kupunguzwa kama ni Kitabu cha Yakobo kwenye kitabu kile usiongeze mengine lkn swara la vitabu lenyewe kuna vitabu vingi mno yawezekana kusingewezekana kitabu kimoja kubeba yote kwahyo kama biblia ingine...
Continental decodar usijaribu wala hata kuuliza bei yake hata kama ukipewa bure usijaribu kabisa
Kwanza,chanel zao kila mda zinakata na zinaweza kata siku mbili
Pili ukilipia unamaliza hata wiki ndo unapata channel
Tatu namba yao ya huduma kwa wateja yaani haipokelewi hata ukipiga wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.