Ila Hando msimshangae kumbuka kuwa yeye pamoja na kibonde walikuwa ni ma-MC kwenye BDay ya JK na wakaombwa sanaa
wawe wana isifia ccm kwa nguvu ZOTE
Na muda mrefu sijawahi sikia clouds FM wakiikosoa CCM... Ila by now CDM ni adui NO moja wa CLOUDS MEDIA
hongeara sana Maggid kwa thread yako..maana ukweli mara zote upo pale pale kuwa
CDM ni chama peekee cha kumkomboa mTZ , tunamsubilia mzee Mapunda wa Tazama
naye abadilike...maana kwa sisi wenye uelewa tunashindwa kuelewa makala zake ktk jamii
mhh...navyoona muslim inabidi wajisajili ili kiwe chama cha siasa...kutokana na azimio la kukaa mnalumbana na chama cha siasa
instead of kujadili mambo ya kimaendeleo.
maana haileti mantiki katika jamii kuona muda wote wa matamko yenu Chadema inakuwa moja ya agenda zenu
je CCm itakapowageuka...
mimi mwenyewe nilishawahi kusikia tamko la kigoma na morogoro...niliona masheikh kinachowasuumbua ni elimu ndogo..maana maaskofu wana elimu za PHD .. hivyo wanaongeo reality while ma sheikh wanaongea Nadharia (MYth) ndio maana hata wao wenyewe walitangaza kuwa
kubenea na ulimwengu ni waislam...
wanajamvi naomba mnieleweshe kwa hili, tuchukulie chenge asingekuwa na hiyo lakisaba then akafungwa
maana ndio ingeonekana jinai....kwa mtazamo wangu naona sheria zina favour wenye kipato na c maskini
kwa maana chenge ashahukumiwa...je hiyo sio jinai? na kakutwa na hatia!1 hakuna uhalali...
bila ya katiba mpya tutaendelea kuona hukumu mfu kwa public figures..chenge
alitakiwa afungwe jela miaka mi5 na faini ya 700,000/=
hakuna kiongozi ambaye ameshawahi kupata adhabu kali..bali wanaendelea kuenjoy the
wholly system..jikumbushe kesi ya Ditopile, liyumba,zombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.