Nilikuwa najaribu kutafiti ni faidi au hasara kwa Tz kuwanyima haki wazazi wa wenye passport za kigeni (Desporas). Niliangalia mfano mmoja, kila mtu anapostahafu hufikiria kurudi kwao na kuishi uzeeni. Nikichukua sehemu ndogo tu ya Desporas Uk utaona wako kati ya laki 3 mpaka 5. Kiwango cha...
Hivi ukiangalia sana utaona vyama vya upinzani hawaoni zuri la chama kingine .na wa kilioni hukaa kimya .na baya dogo litapigiwa mbiu..na kulifanya ndio fursa ya kuonyesha udhaifu wa chama tawala.
Ukweli vyama vyote ni kwa manufaa yao ..mpango ni kumiliki mali za nchi .
Tujiulize ukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.