Mimi alinipigia demu fulani mida ya saa sita usiku akaniuliza hivyo hivyo, 'umelala'? Nikamjibu hapana nipo nje naota jua! Akakata simu! Napenda watoto lakini sipendi utoto.
Ukiwa Na Ardhi Ndogo Halafu Uchumi Unaeleweka Na Idadi Ya Watu Ni Kubwa, Lazama Utajenga Kuelekea Juu! Sisi Tuna Ardhi Ya Kutosha Na Watu Ni Wachache Tu, Magorofa Ya Nini? Hayo Yaliyojengwa Na Akina Mkapa Na Jk Yanatosha Kwa Sasa, Wacha Tujenge Tusivyo Navyo Na Ni Vya Muhimu. (fly Over, Reli...
Pole Ndg. Anyway, Kwakuwa Umeshakubali Kufa Na Kuamini Kuwa Baada Ya Miezi 4 Hutakuwepo Tena Kwny Huu Ulimwengu, Je Umejiandaaje? Unajua Unaenda Wapi? (kuna Sehemu Mbili Tu Za Kwenda, Mbinguni Au Kuzimu) Je Wanafamilia Unawaachaje? Nauliza Hivyo B'coz Tayari Ww Mwenzetu Umebahatika Kujua Unakufa...
Nahisi Utafiti Haujakamilika! Je Zile Hewa Tunazotowaga Kupitia Msamiati Wa Trump(shit Hole) Walishawahi Kupima Na Kujuwa Ktk Maisha Yote Ya Mwanadamu Ni Sawa Na Mitungi Mingapi Ya Gesi? Je Ile Harufu Ingesindikwa Na Hewa Yake Hiyo Kwa Miaka 20 Labda Lingekuwa Aina Gani Ya Bomu? Je Tunaponyoa...
Mh! Hiyo No 1, Imetisha!! Swimming Pool Mbili Za Mate Kwa Maisha Yako Yote!! Lkn No, Kwan Maisha Yote Ya Mtu Ni Mda Gn Au Umri Gn? Kuna Wanaoishi Miaka 5, 50, 120 Na Wengine Masaa Tu, Sasa Wao Wametumia Umri Upi Kama Kipimio? Je Hizo S/pool Za Ukubwa Upi! Anyway,
Aliyekudanganya Wanatoa Mapepo Ni Nani? Wale Wanachofanya Ni Kumtuliza Tu Pepo Mwenzao Ikishindikana Anawekewa Pepo Mwingine Mwenye Nguvu Kushinda Yeye Na Masharti Lazima Mfuate. Lkn Nguvu Ya Mungu Humwondoa Kabisa Ndani Ya Huyo Mtu Na Akisimama Ktk Imani Ya Kweli Huyo Pepo Hawezi Kurudi Tena Kamwe.
Anamtegemea Mungu! Au Anakutegemea Ww Mkewe! Ah! Sorry, Mkwawe!? Wala Hategemewi Yeye Anategemewa Mungu Aliye Ndani Yake. Ww Dini Gn Kwanza! Nisijekuta Natumia Nguvu Kubwa Kumjibu Mkananayo Mfilisti!!
Mm Nimelipia Umeme Na Nguzo Moja Tangu Mwezi Wa 10/11 mwaka jana hadi leo mwezi wa 3 hamjaja kunifungia.
nimekuja sana ofisin kwenu kisarawe wananiambia watakuja! nikaribu miezi 5 inafika wakati wenzangu wengine wanafungiwa umeme, nguzo wanapita nazo hapo nje kwangu wanapeleka
kwingine why...
Tatizo Kubwa Hapa Ni CCM Kutumia Vyombo Vya Usalama Kwny Hizi Chaguzi, Hata Siku Moja Huwezi Kumshinda Mpinzani Wako Anayekuchukia Huku Yeye Ana Silaha Mikononi Na Ndiye Mwaandaji Wa Uchaguzi Husika Na Ndiye Pia Mtoa Matokeo Ya Uchaguzi Huo. Unapataje Haki Ktk Uchaguzi Kama Huo?
CCM Hawako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.