Babe usiweke chochote hapo wanachokuambia please,,, mimi najuta,, sijui mafuta ya kuku, sijui mkojo wa punda, nilikuwa natoka usaha toka utoto wangu nikatumia madawa meengi yakasababisha ngoma yote ikalika ndani sasa hivi ninavyoongea nimefanyiwa operation nina ngoma bandia,,,, ushauri wangu...
Hakuna kuchoka pambana pambana,, huko unapokimbilia ndo maumivu zaid,, ni moto milele hauend kupumzika,, mimi kwa umri ni mdogo but napambana vibaya yan,, kunakijikaz naweza kukuunganisha 0688419041,, uwe na nia uwezo wa kufanya,, zaidi ya yote jiweke busy kanisan au msikitin fanya kazi flani...
Siku hizi kuna magonjwa ya ajabu sana ambayo zamani hayakuwepo,, mfano BAWASILI (kuota nyama sehemu ya haja)ni tatizo linalosumbua wengi mpaka wanashindwa hata kutembea .na sasa kuna wanawake wanaoota vinyama kama visunzua sehemu ya uke,,Kampun ya BF_Suma kutoka USA inakuletea lishe ya asilia...
X-power man ni lishe nzur kutoka bf Suma company inarutubisha uume na kumfanya mtu awe imara na mwenye nguvu wakati wa tendo,lishe hii inawafaa zaidi watu wenye KISUKARI na haina side effects,, hii ni company kutoka USA,dawa zake zimethibitishwa na TFDA na TBS,, pia kuna dawa za fungus sugu...
Habari,
Watu wengi wamekuwa wakihangaika na fungus, akitumia dawa zina isha na kujirudia tena.
Ningependa kuwashirikisha dawa toka kampun ya BF_Suma ambayo itakufanya usahau kabisa ilo tatizo.
Pia kuna dawa lishe za viungo kama zinauma, misuli, meno, huzai,maziwa hayatoki, mtoto anaumwa umwa...
Utawezaje kuishi unaongea na mtu mmoja mtaani, coz yeye amegombana na karibia majiran wote, na ss ndo tunapakana nae kabisa,pia sisi hatujui ugomvi wao umeanzia wap, utaanzaje kuacha kuongea na mtu kwa sababu ya ugomvi usikuhusu na wala hauujui??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.