Kama hauna aibu kama mimi au sio bishoo. Uza simu hiyo ingia sokoni asubuhi ununue tenga la nyanya utembeze na baiskeli hapo mjini daslam lazima utapata hata 5000 ya kula kila siku.
Regret haitakutatulia matatizo. Tushapitia hizo shida na sisi. Nilianza kuuza simu ili nipate hela ya kula...
Kenya is struggling.... visa free ni moja wapo ya namna ya kutapatapa... kwamba iwe rahisi raia wa nchi za nje waingie Kenya walete dola na kuiokoa shilingi yao ambayo ipo matatani.
Kwamba ikiwa wakiweka visa free na nchi nyingine waka reciprocate basi raia wa kenya waende nchi za nje kufanya...
Kwasababu haibadilishi chochote kwenye maisha ya watu. Sawa ni kiongozi, ila usitake kuniambia kwamba kutokujua alipo kunasababisha watu wasifanye shughuli zao za kila siku.
Kila mtu duniani ana safari yake. Tusiombee watu vifo kwasababu hakuna atayeishi milele. Mtu akifa usione kana kwamba wewe umependelewa sana na Mungu kuwa hai, siku yako yaja pia.
Shida ni kuamini kwamba serikali wapo ontop kwenye kila kitu.
Wapo wapi wanasayansi na wasomi ambao wangeweza kushauri raia wasijenge kwenye mazingira yenye hatari ya mud floods?
Sio sijaamua mkuu, ni maisha tu... kwanza kilichonipa setback, kikao cha mahari kilivunjikaga, ni story nyingine hiyo... ndo ikanipoteza munkari kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.