Habari za mda huu waungwana!!!!
Natumia Samsung grand prime plus, ambayo storage yake ni ndogo sna kwa hivyo niliamua kununua Sd card au memory card kama wengi wetu tulivyo zoea kuiita. Kila kitu ambacho kina husiana na gallery na music vyote niliviweka katika storage ya external ya Sd card na...
Habarini za mda huu wana jamvi
Naomba kufahamishwa vigezo vinavyo hitajika na ubalozi wa Marekani ili upatiwe visa ya kufanya kazi nchini kwao.
Nimejaribu kwenda kwenye site yao lakini sjaelewa vzr ambae ana experience please msaada unahitajika.
Habari za mda huu ndugu zangu naombeni kuuliza ka waha Tanzania kwetu kuna benki yoyote ambayo haina makato ya kila mwezi na kama ipo ni ipi ili nikafungue account na mm niwek kihakiba changu.
Natumai nitapata msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.