Ukisema kuwa huyu DC alikuwa mlevi ili hali amekuwa Dc kwa awamu tatu inaonesha ni jinsi gani serekali yenu ilivyokuwa feki na kumwajiri mtu asie na uwezo.Toa hoja zenye mashiko
Jamani nauliza hivi Kamanda Laurian Tibasana yupo wapi? Kwani toka mwaka 2006 kikwete alipolifumua jeshi la polisi na kumpeleka Adadi Rajabu kuwa Balozi kamanda Tibasana hakusikika tena
Tatizo letu ss wabongo tunaamini kuwa kila kifo ni lazima kiwe na sababu.Lakini sio lazima.Lulu hana hatia mpka itakapothibitishwa vinginevyo,there 4 Lulu anayo haki ya kuwakilishwa kama watu wengine.More over kama taariafa zinavyoeleza kuwa LULU ana miaka 17 na alikuwa na uhusiano wa kimapenzi...
Hata hapa Tz kuna vizee vichakachuaji havitaki kuachia madaraka kwa ajili ya utamu wa madaraka.Ukiviona ni vizee vya kufa mda wowote vimekalia majungu ofisini na vidiploma vyao vya miaka ya 70.Ukiviona kama vichawi vimekwisha
TBC ni chombo cha ccm hawana jipya bali walikuwa wanajikosha baada ya kuchakachua video.Haisaidii kitu hata wakijikosha kwani lawama zote ni lazima wazibebe police
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.