Valentine Day ni nini? Je! Ni wangapi wanafahamu haya? Soma japo kidogo then tafakari kwa kina! Kwa vile hakuna jambo lisilokuwa na chanzo! Muhimu zingatia uelewapo!!! Valentina Edgan alizaliwa tarehe 14/2/1932 katika jiji la Valensia huko Hispania, kafiri huyu ndiye alitumia mabilioni ya dola...
Jamani kabla ya kuandaa jambo lazima upime na ikibidi fanya kautafiti juu ya nini kinaweza kutoakea kwenye hilo mnalopanga, Risk assessment and mitigation should be considered before you implement, the CCM are good in such situation, this is not the first time but they research. A bit then they...
Tutawasikiliza kwanza kupitia vikao sahihi vya ccm, aweza kuwa Rais mzee ila baraza la mawaziri likawa la vijana, na huyo mzee akawa tayari kufanya ya vijana na Nchi ikaenda Twahitaji mchapakazi wa matatizo yanayoikabili nchi yetu na watu wake na siyo ujana utatatuwa matatizo na wala si ujana si...
Muh Hamad nto kafunguka kwa hiyo yuko sahihi kwani kila mtu kapewa akili za kufikiri na kutafakari awezavyo, muh kashtuka na kesho atakuwa mwana Ccm mkuu!!
SHEIKH PONDA AIBUA MAPYA
''Hakika mpango huo ni ajenda ya siri kwa waumini wa kiislam, serikali ijibu imekusudia nini kwa uwazi kwa waislam wa Tanzania, wapi duniani ama kwa dunia ya uislam kamati za namna hii zipo? serikali iwe makini vinginevyo itabaki na wasiokuwa waislam na waislam...
Wapendwa Wazalendo mimi nachosema ni Hiki: BORA NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI, hivi madawa ya Viwandani ni salama sana kuliko yetu ya asili? Watanzania lazima tufunguke macho na masikio kwani madawa ya asili ni bora kuliko hayo ya viwandani ambapo wengi wa watengenezaji wamekuwa si wa kweli...
Naunga mkono na kwa kweli tumechelewa mno, watu hawa wanafanya Nchi yetu kuwa kama Dangulo la kufanyia wanachotaka, Wasakwe na adhabu kali itolewe na wale wanaowafadhili kwa kuwawezesha kuja nchini na kuishi na kufanya uhalifu nao wasakwe na kupata adhabu zaidi ya wageni kwani wao ni hatari...
reli ni muhimili wa uchumi kwa watanzania na wazambia, kwangu mimi pia reli ni usafiri kama usafiri mwingine ndani ya nchi yetu, kwa fikara zetu ni muhimu kubadilika na then mambo yatakwenda, naamini kuwa watanzania tunaweza sana isipokuwa ufinyu wa mawazo ni tatizo kwa wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.