Aisee...maovu unayoyaona leo yameanza na anguko la dhambi huko Eden.
Okay Mungu hakushindwa kuumba ulimwengu ambao hauna uwezekano wa uovu. Ila alitaka kuumba ulimwengu ambao watu watakuwa na upendo wa kweli kwake. Ndio maana akawapa free will. Binadamu alikua na uwezo wa kuchagua kumpenda...
Hivi kwanini huwa mnatumia akili za darasani ku-reason na mambo ya kiroho? Okay lemme help out here. Mungu aliumba ulimwengu usio na maovu au mateso. Kilichokuja kuharibu ni dhambi ya Adam and Eve. Mungu ni Mungu wa principles. Kila kitu kwake kina consequences. So Adam na Eve walivyotenda...
Adele hakua nominated sababu alichelewa ku-release album yake. Kuwa nominated for 2016 Grammys inabidi kazi zako uwe umetoa between Oct 2014 and Sept 2015. Adele aliachia album yake Nov 2015. Which means alipitiliza deadline tuseme. Kwa hiyo atakua eligible for 2017 Grammys. Na anatachukua...
Okay ni hivi, my boyfriend is in Canada and I'm soon going to another country.
Yeye anasema ana mpango tuoane in the future lakini mimi sina huo mpango nae kwa kweli. We are both 20 na sitaki kuwekeana such promises at this time.
Tatizo jingine ni kwamba tuna dini tofauti. I can't marry...
Sometimes na nyie hamuelewi. Mtu unamwambia no, you clearly show that you're not interested lakini bado atakutext kila sikuu japo haumjibu. Hapo inabidi kumwonea huruma tu na kumblock asipoteze muda wake.
You seem to have low self esteem...
Stop comparing yourself with other people.
Be proud of who you are..there's only one you in this world.
Just change your attitude young lady.
Yani nilikua na-expect wimbo wa Make Me Sing utakua na beat ya ukweli...like a song you wanna dance to. Sasa wimbo wenyewe sijui wametumia kinanda tu yani unaboa! It makes me wanna sleep.
#teamgoodmusiconly.
Yani hao watoto hata usipowajaza chuki wakikua watampendea nini baba yao kama alikua hajishughulishi kwenye maisha ya familia? My mom is a single parent. Yeye siku zote ni kuimba mpendeni baba yenu, mwombeeni, muwe mnamjulia hali etc lakini
mimi ndo sina interest yani nimempotezea maana mzee ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.