thanks the boss pamoja na wachangiaji wengine kama wawili hivi mmenishauri vyema,
wengine wamelazimisha kuelewa wanavyotaka wao, na mtu ukisema ukweli unaonekana unajisifu.
kuwa mstaarabu, kama huna la kunisaidia kaa kimya, najua ni dharau imekujaa coz nimesema 2, 3. But to me thats enough. hizo 10,20 ni za kwako, naona umeng'ang'aniiiiiiiiia.
Dah, kuna wawili ila sio type yangu kabisa, mmoja ni mke wa mtu, na mwingine hajaolewa ila ana mtoto. Kwa kifupi kuna gap kubwa kati ya wasichana niliokuwa nao enzi zile na ninaokutana nao this time. Na kazi ninayofanya inanifanya niwe mbali sana na wasichana wazuri wa rika langu.
in short sina kawaida ya kutafuta wasichana sehem za namna hii, nimekuja ku-shere hapa mmu nikijua huenda kuna mtu ashawai kutana na ishu kama yangu, what if kama kuna kitu nakosea??
mkuu nachelea kusema kwamba umenielewa vibaya, na wala sipo hapa kwa ajili ya kujisifu maana ni upuuzi kujisifu with anonymous id, nani anayenijua hapa jf?? Mkuu wewe hujui lakini mwenzako kila siku najiuliza sababu ni nini, may be hayajakukuta ndo maana unaona nimekuja kujisifu.
Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebook
kama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.
Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"
so please if that is true then msiondoe hii thread.
WATANZANIA WENZANGU HEBU TUACHE USHABIKI HALAFU TURUDI KATIKA UKWELI NA UWAZI,
KAMA NI KUCHAFULIWA NA KUONEWA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA AMEONEWA NA KUCHAFULIWA SANA,
LAKINI NAPENDA KUULIZA, JE NI KWELI MZIGO WOTE WA UFISADI NA UBAYA WOTE UNAOTENDEKA TANZANIA LOWASA NDIO TOP OF ALL???
LEO HII KILA...
Heshma kwenu wakuu.
Nina mrembo mmoja ambaye tunapendana sana, tatizo lililopo, huwa wakati wa kummega, tunaanza vizuri tu na huwa anakuwa anapokea kwa raha sana mwanzoni, lakini muda unavyoenda na kwa mujibu wake ni kwamba anapoanza kuhisi anafika kileleni tu, huwa stimu zinamkata na kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.