Rais mbona analaumiwa kuwa hana msimamo? kwa kipi?, mbona watu hatuna subira? kwani Rais alishinikizwa kufungulia vyombo vya habari ama ni mapenzi na nia njema iliyosukumwa na utu wake?. Tangazo halina hata siku tano leo watu mnamjia juu rais eti anayumbishwa badala ya kumpongeza au nyie ndio...
Kuna jambo huwa linanipasua kichwa sana kuhusu thamani ya bidhaa au mali haramu. Yaani unakuta bidhaa haiuzwi kihalali mfano dawa za kulevya au nyara kama meno ya tembo, lakina unakuta jeshi la polisi wanatutangazia kuwa tumekamata pembo za ndovu au dawa ya kulevya yenye thamani ya milioni500 au...
Kweli kabisa, lazima tupewe heshima yetu. Unampelekaje bingwa wa nchin, bingwa mtetezi wa kombe lenyewe la azam na kinara makundi african champions club? migombani? kuweni na adabu kwa mabingwa basi. ndio maana uingeraza bingwa wa epl anapigiwa makofi na timu pinzani katika mechi ya ufunguzi...
Huyu spika sio bure inawezekana anataka kurudi kwa bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. maana anafunguka mambo muhimu mpaka nashangaa nini kimemmpata? sio kawaida kabisa kw Ndugai huyu tunae mjua kichwa kile eti leo kawa smart sana kichwa, au chadema ndio walikua baadhi ya ufahamu...
Magunia siku hizi hakuna jambo, malaya kwa mandazi load wanapatikana sana sisi club hasa siku za weekend. na kuhusu wahaya ni buku tatu siku hizi, pia wazuri wamepungua sana, mi nikiwa na migundi nachukua baik yangu nakimbia fasta mwananyamala kule sasa ndio kuna malaya wakali.
Shukrani sana kwa elimu nzuri mkuu. tunaomba tuwekee na mtambo wa kutandaza rail, niliona sehemu yaan ni bonge la dude. mtambo unabebe mataruma, rail, kokoto kisha unalaza wenye ardhini, mafundi wanakuja kukazia nati tu.
Idd imenipiga chenga ya mwili leo, Jana usiku nilikuwa na sh10000 nikapiga safari2 4000 nikabaki na 6000 nikajua Leo idd nikigonga bia misafari mikubwa mitatu sio mbaya. Lakini asubuhi leo hii nagongewa chumba umeme umekata mchango 5000 nimetoa nikabaki na 1000 tu nimenunua mb 500 za jf. Kwa...
Unaujua wimbo wa Mwandwanga? Kuna sehemu Katika mashairi yake anasema ( nanganile nnilumego mmasoko mlandani akata kali nhikisa nkipambaga ngimba ilema, fyobhene gwajobhaga mwanangu.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wapi mkuu? Kuna kimoja kipo mto mbaka mpata. Na kingine kipo mto mbaka pia sehemu inaitwa kibhundugulu karibu na Kijiji Cha london Kama unaelekea mbambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya hapa forest nimesoma Mapambano pr school miaka ya 90, tulivamiwa na majini shule ikafungwa kwa muda. Mi nikarudi home masoko tukuyu, nikarejea tena mwaka 91 baada ya hali kutulia. Huu msitu wa forest ulitenganishwa na barabara tu na shule yetu.
Tumecheza Sana kamali forest wakati wa...
Jaribu kwenda pale TBC FM sema nimemua rais John pombe Magufili, baada ya hapo nenda Wasafi media kaseme naumba radhi kwa kauli yangu ilikuwa ni utani kwa kuwa Magufuli yuko hai. Ukitoka salama njoo unikate kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Kama kuna watu washateseka kwa mafua basi mi nilichungulia kifo. Ilikuwa mwaka 2000. nilienda kwa jamaa yangu maeneo ya namanga makangira, jamaa alikuwa na gym za uswahilini mix zege. Sasa na mimi nikauna nikapashe kidogo kujiweka fiti. Kweli nikapasha vema baada ya muda jamaa akaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.