Huyu Mtatiro atakuwa ni mkurya kweli au ni jina tu!! Wakurya ninaowafahamu mimi ni wasema ukweli sasa huyu wa visingizio vingi mimi sidhani kama ana asili halisi ya kabila la wakurya.
1. Kubali kwamba vurugu mliyonayo ndani ya cuf ni sababu ya kushindwa ktk uchaguzi
2. Kubali kwamba Lowasa ni...
Na hii dhana yenu ya kwamba kijana ni lazima awe mpinzani ni dhana mfu. Na mmekuwa mkiitumia hiyo dhana kama sera. Hii inawapoteza sana.
Lakini pia inatakiwa vyama vya upinzani mji- reform hasa kuhusu swala zima la fujo. Kwani mmekuwa ni watu wa fujo na kauli chafu. Kwa watz hatujazoea desturi...
Wakigundua sifa ya mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama cheo ambacho amekuwa nacho mr Lowasa hadi anaacha ubunge wataelewa kuwa mr Lowasa is an asset or Liability
Taja na wengine wasiyolipa mkuu bila kujali itikadi zao.
Lakini pia kuwa mzarendo wa nchi yako kwa kusema kuwa kiongozi inatakiwa awe ni mfano wa kuigwa. Kiongozi Kama halipi kodi je atakusanya kodi??
Kwani unafanya kazi YANAPA mkuu!!
Nina maana unaishi porini huna majirani wanaokuzunguka ili uchague m1 anaekufaa tena kwa uchunguzi wa tabia yake kupitia majirani wema?
Unasahau tu mkuu
Tundu Lisu alikuwa na mdogo wake ambae kwa sasa ni marehemu kwa kipindi chote cha bunge la 2010-2015 nae Mbowe na mkewe walikuwa ni wabunge katika bunge hilohiho. Wao wana uhalali?
Watanzania ni walewale vyama ni njia tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.