huyu jamaa sijamwelewa anasema alikua mpinzani wa January na shekifu ina maana alisimama kuwania uongozi majimbo mawili!? coz january ni mbunge wa bumbuli na shekifu ni mbunge wa lushoto,, isitoshe january alipita bila kipingamizi(upinzani) jimboni kwake,, sasa cjui huyu jamaa ni wa sayari gani
babako ndo aandikwe coz naona hutaki wake awepo kwenye historia,,ila mi naona both babako na babake wawepo kwasababu ure dad alikua supporter mzuri wa kusema kidumu na zidumu fikra za baba wa taifa, eti hadithi za alf ulela! na wewe tunga yako tuone kama itakua na mashiko
kila kitu mnalaumu serikali :mad: kuna watz kibao hawana ajira serikali inalishughulikia hilo,, bado miundombinu, maji, umeme n.k. wewe umepewa ajira unagoma bado serikali ilaumiwe kwa ww kutokufanya majukumu yako!? tatizo waalimu mnajiingiza kwenye siasa, mlishajibiwa mishahara yenu kuongezwa...
kwani ww ni mwalimu mwenye level gani!? utakuta grade A au diploma halafu unataka mshahara mnono kama wengine akati ULIFELI. haya endelea kugoma ili tupate taifa lenye failures kama wewe halafu tuone kizazi chako kitafundishwa na nani
utafiti wa kufeli unaanzia dar coz dar ndo mkoa waliofeli zaidi halafu mikoa mengine itafata,, tatizo waalimu wengi wa cku izi ni failures!!! sio madai yao yatimizwe tu kwanza waliopo wapewe test kama wakifeli hakuna ajira halafu wanaofuata waekewe limit ya marks reasonable sio izo division four...
kuanzia ufundishwe kueka colour imekua taabu!? sasa unataka tukufundishe na lugha!? surely hujui maana ya mwendo mdundo? ila mbowe knows kwasababu nishawahi msikia akilitumia, au ulifkiri ni ilani ya cdm?
sasa ulitaka serikali ianzishe caterings ili hao waliopo pembezoni mwa barabara wapewe chakula ndo uite ni maendeleo,, acha kuwa na akili mgando hatua tuliopiga iko wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.