Hizi Account zingine ni za kimkakati.
Embu msifanye wapiga kura wakaamua kupiga kura za hasira na Mabwana wenu mnaowanadi kwa hoja za kikabila na ukanda wakapata kura 0.
Tutaangalia uwezo wa MTU na sio kwamba ni KABILA gani na ANATOKEA mkoa/kanda gani.
#TanzaniaMpya
Kisiasa unampunguzia na kumpotezea Mwaipaja nafasi ya Ushindi kwa aina ya hoja ulizotoa na jinsi ulivyozijenga. Hivyo yumkini wewe ni team campaign wake na hivyo kushambulia wagombea wanaoonekana "threat" kwenu.
#SiasaZaKisayansi
Nani anafaa kupata kiti cha uwenyekiti uvccm?
1. Juma Seif Mtoro
2. Juma Boaz Mwaipaja
3. Simon Mathias Kipala
4. Kheri Denice James
5. Mganwa Shaban Nzota
6. Thobias Mwesiga Richard
7. Kamana Juma Simba
Toa maoni yako hapa....
Uchambuzi wangu nitauleta kesho asubuhi na juu ya nani anafaa...
ARUSHA IMETAKATA NA CCM
Arusha imekuwa moja ya mikoa Tanzania,iliyoweka rekodi njema ya utendaji wa viongozi wa chama na serikali.
Mh Gambo amewekeza na amejikita katika kuwatumikia watanzania Maskini hasa wakazi wa Arusha.Muda wa Kusikiliza nani Kusema hili,nani kasema lile,Muda huo hatuna...
Haikutegemewa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akubali kirahisi kumkaribisha Waziri Mkuu ailiyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa ndani ya chama hicho kisha awe kinara wa kumpigia debe agombea urais mwaka 2015.
Duru za kisiasa zinaelelezea na kutaja bayana kuwa bila shaka yoyote...
Jumatano tarehe 06:
Kamati inasoma ripoti za Almasi na Tanzanite katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
Anakabidhiwa Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anasema, " kesho SAA NNE asubuhi nitaikabidhi hii ripoti Kwa Mhe Rais Ikulu Dar es salaam"
Kwa tafsiri hiyo ina maana safari ya kwenda Dar ilianza Siku hiyo...
Wakati Lissu anapelekwa Nairobi walitajwa watu wanne tu ndio waliopanda ndege iliyokuwa imembeba Mgonjwa. Alipanda Mbowe, akapanda Mke wa Lisu na akapanda mchungaji msigwa na Mwisho alikuwepo Dr Toka timu iliyomhudumia mwanzo pale Dodoma Hospital.
Wakati kamanda wa polisi anatoa maeelezo kwa...
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA VYOMBO VYA HABARI ILIYOTOLEWA NA KAIMU KATIBU MKUU WA UVCCM SHAKA HAMDU SHAKA (MNEC) UPANGA DAR ES SAALAM SEPTEMBA, 10 2017 UPANGA JIJINI DAR ES SALAAM
Ndugu Waandishi wa Habari
Septemba 9 Mwaka huu Baraza la Vijana Chadema(BAVICHA)...
Mimi si mwandishi mzuri na sina utaalam katika kuandika vema mbele ya waandishi mahiri na magalacha wa habari wanaoandika na maandiko yao na kusomeka na watu wengi yakabaki akili mwa watu kwa miaka na miaka.
Hata hivyo nawaomba radhi.L nanataka nijaribu kuandika kitu ninachokipa kichwa cha...
Unakuta kabisa Mtu anatanua kifua, anafungua mdomo na kusema Rais Magufuli anapotupeleka sipo. Eti Nchi inarudi, nchi inaangamia. Haya ni machache tu ya kuwaumbua na kuwaelezea mafanikio ya Rais Magufuli mpaka sasa.
1. JPM amerejesha nidhamu ya fedha habari za kutumia fedha kuleta ubabe hakuna...
Kwa muda mrefu sasa zenda amekua akisadikiwa kuisema vibaya uvccm kwa polepole na baadhi ya maofisa wa ccm Lumumba. Sababu ya kufanya hivyo iko wazi; (1) shirikisho kuondolewa na kuwekwa chini ya uvccm kama idara (2) kutopewa cheo kikubwa (unaibu katibu Mkuu au ukatibu mkuu) (3) kupenda kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.