Poleni huko Dar, mkifika kituoni nyoshen mikono juu mmshikilia cm zenu na wallet pia, hawataweza kuwavalisha tena ndoo, labda waje na mapipa sasa. Try ths, its not a joke. all the best
Mgonjwa kafanyiwa upasuaji, mkasi ukasahaulika mwilini. Taarifa zinasema mgonjwa amefariki. Mwaka juzi mwinine alipasuliwa kichwa badala ya mguu the same hospital! Inasikitisha sana. Najiuliza hivi kweli hospital zetu zina wataalamu wa ukweli au nimnini. ..... Uzembe huu na mwingine kama hiyo...
La kufanya ni kuishinikiza srkl kutatua hili swala, pesa ipo, mbona inaweza kulipa b185 kwa kampun isiyojulikana mmiliki wake. Cjui ni mizimu inalipwa!
Kwani anajua kuwa Watz wanamatatizo? Anasaidia wa2 kama ra, el, ym, somaiyah, to mention few! Kula raha, unaongoza Maj...ha yasioweza kuuliza chochote hata uwalaze njaa kwao sawa tu.
Hata awe vp, atakufa tu siku moja. Tutaöna kama ataondoka na hao mapesa. Kila kona amekamata, watz wanakodoa macho tu na kelele zisizokuwa na maana coz tunaongea na hakuna hatua tunazochukua, maana yake nini sara
Wanalalamika kabla hata RA hajachukua 185bn. Wait and see, they will cry blood tears and no body will bother 2 help till they abondon chama twawala. Wacha walie machozi yatiririke hadi magogoni, labda watasaidiwa.
Wanaopinga si wamtaje wao? Mtu katoa mawazo yake, mnamtolea lugha chafu. Kila mtu afanye utafiti wake then aje na conclusion juu ya kiongozi anaemkubali. God bless you
Taarifa za mtandao wa wikileaks kuhusu mwenendo wa JK na serikali yake zastahili pongezi coz imetufumbua macho Watz. Naomba pia wamsake mmiliki wa Dowans ili kila kitu kiwe wazi. Eti hata Serikali haimjui mmiliki wa Dowans? Swali ninani atalipwa zile bilion185. Usanii mtupu huu.
Hello people! Naomba mnijuze, kuna umuhimu gani wa kubadili rangi ya noti ili hali thamani inabaki pale pale? Ina maana jitihada zetu za kuinua uchumi ni rangi ktk noti zetu. Wachumi naombeni ufafanuzi kwani noti zilizopo sijasikia hata siku moja zikilaumiwa kuwa ziko chini ya kiwango...
Congratulations sister. Wadau mnasema kadesa p'papers, mbona wengine wanadesa ila hawafiki hilo daraja. Ana uwezo, tumpe hongera zake ili na wengine wafuate huo mwenendo hasa Dada zetu. Heko SALOME,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.