Search results

  1. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    mwisho wa yote sibagui nawashukuru wote natoka nikiwa nimejifuza mengi ninaimani nitaishi kwa amani asanteni;
  2. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    sion ulicho andika atanisubir miaka mia hujikumshaur mtu jambo kwa mtu kama hata utukane vip najua tumetofautiana koo sijaomba kila mtu anisaport vizur unajibu kutokana na mawazo yako ongeza kutukana napokea chochote
  3. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    kwa sasa nitapunguza hsira yeye hataki nifanye uamuz wowote anadai hajaona mapungufu sasa mim kinacho niumiza mimi sipendi nimkwaze yeye kwanin anikwaze?au mwenzangu anaroho ya nyama mim ninayachuma asichokipenda lazima nimsikilize.au alijua sir sintokaa nijue
  4. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    vampire hakuna sijawona ningewaambia nilipo ndugu yangu ndo mme wangu nimaisha ya utafutaji nakumbana na haya hata anaejua nipo humu amuna zaid ya mume wangu nahajui kama naandika haya humu hakuna anaenjua mim nani
  5. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    unamaanisha mim ndo nilimtongoza au umepungukiwa na mawazo we ndo ukute unaishi kwa kusukuma siku hayo sio maisha lazima ukiwa hai namzima uyatambue maisha yako usukumwe tuu jitambue ili muheshimiane sio kuburuzana hayo sio masha jichunguze alafu amka na mabadiko ili badae uyaone matunda
  6. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    ndo mana jambazi kuazia mawazo yako nikutokee sivi utanitamani usijibu kitu kama hujakiewa humu hawatakiwi majabazi
  7. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    kweli mme nishusha pumzi sina pa kupeleka matatizo nilipo tuko mbali nafamiliy zote mbili ila ushaur wenu wengi wao mwenyez mungu awa barki
  8. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    ndo staki tenar kuolewa
  9. lecho p

    Tangu nijue tabia za mume wangu hisia zimepotea

    Kiukweli nimetokea kumchukia mume wangu hali akirudi napatwa na ugonjwa wa mawazo, imetokea hata sifa zakua na mimi tena sizioni. Mimi ni mwamifu mwenzagu malaya,napenda kuwa mtu wadini mwezangu haijulikani dini yake,napenda kujituma kwa ajili ya maedeleo yetu. Mwenzagu akipiga stori za umbea...
  10. lecho p

    MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

    duu! inasikitisha ukijidhamin utadhaminwa kama ni mwaminifu atakuvumilia usijirahisishe
  11. lecho p

    Natafuta mke/mchumba

    kunawayao huku wanashida kweli na kuolewa wange kuona wagejipaga mstar
  12. lecho p

    Kesi ya ugoni/uzinzi

    duu maisha ya siku hiz yananishangaza sana watu hawa tosheki. hao niwatu wazima watasuluhishana wenyewe
  13. lecho p

    Msaada: Ufahamu kuhusu ndoa na talaka

    mim miaka mitatu na mali nyigi tumechuma wote na sizifikirii nataka nakapambane kutafuta mim peke yangu mpaka nihakikishe nimempiga chin wakwti wakusaliana umepitwa na wakat piga kaz kiume heshima iwepo
  14. lecho p

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    majambaz na vibaka
  15. lecho p

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    naona saiv watu wanataka tuu chadema hata waongee pumba
  16. lecho p

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    chadema sasa ni mti unaokua nakuchanua ila ccm unapurukutisha majani haijulikan kama utakufa kabisa au utachipua mii naona wabadilishe jinala chama wajipange upya
  17. lecho p

    Tahadhari kwa madereva wapya

    pole sana
  18. lecho p

    Wafanyabiashara wa Kariakoo, tuwasiliane

    saivi kuna pochi pia mnazo
  19. lecho p

    Watanzia tuamke juu ya Lowasa.

    atafanya nini lowasa au kwakua ameeda ukawa na hatakua lowasa anae sikika siku zote
Back
Top Bottom