kwa hizi kelele zako walah hujawahi kupata mwanaume aliyekutosheleza... pole sana! Ila ipo siku utachapwa mpaka basi.. Nilichogundua zaidi unahasira kwasababu umechezewa sana, na sasa umechuja!! kaza buti mama endelea kukamata hivyo vijiwanaume vinavyokushobokea!!
Ushahidi wa nini, mbona inajulikana toka enzi hizo! Nadhani hili limekuwa likilalamikiwa kwa mda mrefu sana, huu ni wakati wa CDM kupatia ufumbuzi malalamiko haya....:angry:
Hivi TCU ipo wapi?? Inafanya nini? Nauliza kwa sababu wao ndiyo wanapaswa kusimamia vitu vyote vinavyoitwa "Vyuo vikuu" hapa Tz, na wanatakiwa kuwapa wananchi taarifa sahii punde inapobidi. Nadhani kuna harufu ya UFISADI!:A S angry:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.