Nimesikitishwa kwamba hadi usiku huu walimu mkoa wa Mbeya hawajapata mshahara wa mwezi Aprili! Mwenye taarifa atujuze kulikoni? Je ni tatizo la nchi nzima?
Hata walutheri siku hizi tunaokoka, tunamkaribisha kwenye FARAGHA kila jumapili jioni na siku zote za katikati ya wiki! Yuko usharika gani tukampokee? Na usisahau kumkumbusha kuja kwenye mkesha kila jumapili ya mwisho wa mwezi kuanzia saa 1 jioni hadi 12 asubuhi!
Nimesikia kuna baadhi ya watu wanampendekeza Mch Christopher Mtikila ili aongoze bunge la Katiba! VIgezo eti anaonekana atakuwa na maamuzi huru! Wewe unampendekeza nani?
aliye mchafu na azidi kuwa mchafu na mwenye haki azidi kutenda haki,suala la kwenda mbinguni sio lazima unaweza kuchagua baraka au laana! Oa tu pasco hadi wakuite dume la mbegu ili unakokwenda nako ukapewe taji ya haki yako sawasawa na matendo yako
nadhan mtoa maada ameangalia mambo mawili,kwanza aina ya muziki wenyewe umejaa mipasho ambapo si tabia za wanaume, pili mashabiki wake walio wengi ni wanawake
huu sio utabiri ni unabii, yaani ametoa unabii! Ni tofauti na akina marehemu sheikh yahya! Ungekuwa unafuatilia unabii wake hakuna unabii aliowahi kutoa ambao haujatimia!
Mungu wetu katika Yesu Kristo yupo na anaokoa na kufufua wafu! Yu hai na ni Mungu anaetenda kazi! Wewe kama Mungu wako hawezi kufufua pole sana! Hata ufanyeje watu watakuja kwa Yesu wataokoka tu, wataijua kweli nayo kweli itawaweka huru katika Kristo Yesu!
Halmashauri ya jiji la Mbeya leo ilianza zoezi la kutoa fomu kwa ajili ya kuuza viwanja 450 vilivyoko eneo la Sistila. Fomu ilikuwa inauzwa sh 80,000. Watu waliwahi tangu saa 11 asubuhi ambapo kila anaefika alikuwa anajiorodhesha jina ili kupata namba ya kwenye foleni. Cha kushangaza alipofika...
mtoa mada umepotoka, ulikuwa wajibu wa wazazi kuheshimu imani ya mtoto wao maana harusi haikuwa yao bali ilikuwa ya mtoto wao,naamini walikaidi tu lkn walifahamu vema msimamo wa mtoto wao! Hapa kanisa halistahili kulaumiwa kabisa
nipo kijiji kimoja mkoan mbeya; kuna kijana jana alikamatwa akiwanajisi watoto wa kiume wa umri wa miaka 11, kijana huyo mwenye umri wa miaka 19 baada ya kuhojiwa amekiri kuwafanyia vijana hao vitendo hivyo mara kadhaa! Polisi walimkamata jana na kumfikisha kituoni! Cha ajabu wazazi wa watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.