Search results

  1. P

    Ngoja niropoke

    Kama kuna mdada au mwanamke amesoma ujumbe huu na haujambadilisha basi hilo litakuwa ni sikio la kufa
  2. P

    Huu unyonge wa kushindwa kuongea mnapokereka wanaume unasababishwa na nini?

    Kuna vitu vya kuvumilia ila sio vya kukera Kama hivyo ulivyovitaja,ni afadhali mtu akuchukie kwa kumwambia ukweli kuliko kukupenda kwa kuyafumbia macho madudu yake
  3. P

    Huu unyonge wa kushindwa kuongea mnapokereka wanaume unasababishwa na nini?

    Yaan mke nimuoe mwenyewe then anikere nivumilie tu?hapana aiseee
  4. P

    Ni maswali gani ya kumuuliza Mwanamke ambayo yanaweza kukupa majibu hapa napendwa au natumika?

    Ni ngumu sana kuwasemea hawa viumbe, Jambo la msingi ukimpata angalau aliyefikia 75% ya vigezo vyako basi huyo mng'ang'anie tu
  5. P

    Usioe mwanamke aliyepitia maisha ya kuishi mwenyewe

    Daaaaa mbona tunatishana Tena?
  6. P

    Nampenda Evelyn Salt

    Ukuje Evelyn Salt ndugu yetu huku kamoyo kana muhenyeshahenyesha
  7. P

    Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

    Leo kazi ipo,
  8. P

    Nakusalimu Mhe. Rais mstaafu, Kikwete

    6.Watumishi kila mwaka walikuwa wanapata nyongeza ya mshahara
  9. P

    Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

    Mshahara tayari lakini ni uleule hakuna mabadiliko
  10. P

    Kwa kina baba na kina kaka

    Ulichosema ni kweli lkn ni wanaume wachache sana ambao hufikia hatua hiyo uliyoisema ya kupigana,coz hayo mambo huwa matamu baada ya maridhiano ya pande zote mbili
  11. P

    Iwapo Bunge litaongeza muda wa Rais na Bunge kukaa madarakani,wananchi hawawezi kufungua kesi kupinga uamuzi huo?

    Wataalamu washeria watusaidie maana hili ni la kitaalamu zaidi na sio la kiushabiki
  12. P

    Chondechonde Rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako!

    Wabunge kama hawa nao wakapimwe mkojo maana kwa hali tuliyonayo kama Taifa kipaumbele chetu kwenye katiba si kuongeza mda wa kuwepo kwenye madaraka,kuna mambo mengi yenye umuhimu kwa watanzania wote hayo ndo yakuyapigania na sio kuanza kuangalia matumbo yao tu
  13. P

    JamiiForums Usiku wa manane

    Tupoooo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. P

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kooo Sent using Jamii Forums mobile app
  15. P

    Natamani kuolewa

    Ni vyema nawe ungetubainishia Sifa zako,una elimu gani na una umri gan na hata shughuli zako pia kama hutojali,ili mtu anapofanya maamuzi ya kukufuata ajue anaenda kwa mtu Wa aina ipi Sent using Jamii Forums mobile app
  16. P

    Nawapenda sana wanawake wanaovaa khanga nyepesi

    Hii kitu ni Nouma yaani hata kama umechoka kwa kiasi gani lazima mjomba aamke Sent using Jamii Forums mobile app
  17. P

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Kama mtu bado hajaelewa haya maelezo haina haja ya kuendelea na huu mjadala
  18. P

    Mawazo ya pamoja: Tuandae utaratibu tuwashtaki TCRA kwa hili la ving'amuzi

    Jamani kwa hili tuungane kwa pamoja hawa jamaa washtakiwe maana ni wezi wa hadharani kabisa
  19. P

    Mabeki tatu kumbe wamo kwenye mauno...

    Na ndio maana ukinasa kwa house girl kuchomoka ni kazi wanayaweza hasa
Back
Top Bottom