Wauzaji wa vifaa vya kujinginga na gojwa hatari la covid 19, wamepandisha bei za barakoa (mask) zile zilizokuwa zinauzwa shiling 1000 /= zimepandishwa kwa sasa ni elfu tatu (3000/=), ukiwauliza wanasema na wao wapandishiwa kodi na serikali, kama ni kweli serikali mna nia gani na watanzani?
Hbr za jpili wana Jf,. Chama cha mapindizi kilizaliwa kikiwa chin ya mwenyekiti wake Julias kambarage(JK), na sasa chama kimekufa kikiwa chini ya mzee wa hewani(JK).
Hbr wana jf, Leo mr kuweit akiwa mkoani singida ameponda waziwaz mtindo wa chama chake wa kununua shahada za wapiga kura na kuwaambia watanzania waache wasiuze shahada zao, Japo hakuweka wazi chama gani chenye tabia hiyo, Japo wenye tabia hiyo ni chama chake mwenyewe, Tunashukuru mr kuweit kwa...
Asalam.. Alukum, Tumsifu Yesu kristo...Bwana asifiwe... Wapenzi, Mashabiki,Wanachama wa vyama vyote na na watu wote wapenda Mabadiliko Tanzania, Naomba nichukue nafc hii kutoa ushauri wangu,.. Nashauri tutafute muda Maalum kila cku kuanzia Tumwombee rais wetu Mtarajiwa Mh lowasa, kwasababu saut...
Hakuna Mjadala tena Maccm yamepoteana kabsa hawaelewi pakuingilia wala pakutokea kwasasa kwan maccm yamekataliwa kila mahali c vijjn wala town, walichobakiwa nacho ni ile asili yao ya kukataa ukweli coz wameamishwa ivyo bila kusahau uwongo uwongo na umbeya mwingii+mipasho isiyo na tija kwa Taifa...
Muonekano wake na kauli zake zinawavunja moyo Magamba wenzake, kiukweli Pombe kisiasa bado sana na huu ulikuwa siyo muda wake, amekabithiwa Mzigo mzito sana ambao hawezi kabisa kuubeba nahsi atautua njiani, kiukweli lowasa siyo size yake kabsa, size ya mr Pombe ni Dk Mihogo,na ndiyo mana kwasasa...
Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja dhaifu za Dk Slaa, Amesema CHADEMA siyo mali ya Dk Slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, CHADEMA ni mali ya watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao.
Haiwezekani mtu na mke wake wajifanye CHADEMA ni mali yao.
Chanzo: ITV habari...
Niaje wana Jf, Hakika na Kweli Mungu wetu hana Mzaha na Hana kinyongo Kwa wale wamchao na Ndiyo mana amesikia Maombi ya Wanyonge wa Tanzania, kiukweli kabsa Magamba yamepoteana, yanahangamia na Majibu ya Muombi ya watanzania kwa Mungu wetu Anaechukia dhuruma, Manyanyaso, dharau, ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.