Search results

  1. M

    Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

    MSITIANE UJINGA HAPA Mume kumpiga mke wake ni ujinga, ni ushamba na ni udhaifu mkubwa, na wala si ujanja, tena mume anayempiga mke wake halafu anakuja hapa JF kujifisia huo ni ushamba zaidi na anahitaji maombi na msaada wa kisaokolojia. Ukimpiga mkeo, tambua kwamba wewe mwanaume una matatizo na...
  2. M

    Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

    Nini kimesababisha umpige?? Unaomba ushauri wakati unaficha sababu za zilizokufanya umpige, hebu funguka ili upewe ushauri vizuri
  3. M

    Msaada wa namna ya kudeal na Mpangaji msumbufu

    USIITEGEMEE KODI YA MPANGAJI WAKO ILI UISHI, HAKIKISHA UNA KIPATO KINGINE NJE YA HIYO KODI
  4. M

    Nini asili ya neno bodaboda?

    Asili ya neno Bodaboda inatokana na neno/maneno ya kiingereza 'boader to boader' ikimaanisha 'mpaka hadi mpaka'. Biashara ya ukodishwaji wa pikipiki kama chombo cha kusafiria ilianzia zaidi mipakani hasa maeneo ya Congo, Uganda na Rwanda, ambako wafanya biashara wa biashara (halali na haramu)...
  5. M

    Kwanini Ibada ya Eid maeneo mengi Tanzania imefanyika nje ya nyumba za Ibada?Kiimani kuna Sehemu tumekiuka masharti ya dini au inaruhusiwa

    Siku ya Eid/Swala ya Eid inakuwa na idadi kubwa ya waumini wanaokwenda kuswali, hii husababisha eneo la ndani ya msikiti kutowatosha waumini waliokuja kufanya ibada hiyo, hivyo ni hekima ya kawaida kwamba mahali sahihi kufanyia ibada hiyo ni nje, kwenye kiwanja au eneo la wazi ambalo litaruhusu...
  6. M

    Uliambiwa kauli gani na mtu wako wa karibu ikakufanya uhamaki?

    Katika maisha yetu ya kila siku, kwa kujua au bila kujua inaweza kutokea mwenza/mpenzi wako, au rafiki au ndugu akatoa maneno kwako au kauli kwako (Huenda bila kukusudia) lakini ukajikuta kauli hiyo imekukera sana na kukusababishia hamaki na kuleta sintofahamu kati yenu. Wakati mwingine...
  7. M

    Hivi ni kweli kusoma vitabu kunaweza kubadilisha maisha ya mtu? una ushahidi wowote?

    Unapokishika kitabu kimoja mkononi, haijalishi kina kurasa ngapi, tambua kwamba umeshika kazi iliyofanyiwa utafiti wa muda mrefu. Hakuna mtu anaandika kitabu bila utafiti, hivyo unaposoma kitabu kimoja ni sawa utasoma utafiti wa mtaalam fulani mwenye fani fulani. Ni sawa uko darasani...
  8. M

    TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

    RIP Sanctus Mtsimbe, one of the best creative mind I know, tunawahitaji akina Mtsimbe wengi kwa sasa.
  9. M

    Rais Samia, usiichukue hiyo pesa Tsh. Milioni 120,000,000 ya fomu ya kugombea Urais

    Tunazungumzia nchi yetu hii pendwa au nchi nyingine? Sheria zipo lakini inategemea wewe ni nani, unamjua nani na una kiasi gani mkoni mwako? Na hii wala si porojo za kijiweni, kiongozi mmoja mkubwa na mwenye nguvu amenukuliwa hivi kwamba akikiri kwamba huwezi kupata haki kwenye mamlaka za...
  10. M

    Hii ni nini, kumuwaza mtu na baadaye akakutafuta?

    Hiyo inaitwa Kanuni ya Mvuto (Law of Attraction), maana yake ni kwamba kitu chochocte unachokiwaza sana kwenye akili yako (Kiwe positive au negative) kitazama kwenye akili ya ndani (Sub Conscious Mind) lazima kijitokeze, kijibainishe au kilete matokeo uyashuhudie (Manifestation). Akili ya...
  11. M

    Nataka nirudi shule nikiwa na 36 kwa kusikia Marekani Waafrika waliosoma wanapewa ajira kiupendeleo na mishahara ni mirefu, nijilipue?

    Tatizo lako kama lilivyo kwa wabongo wengi sio elimu (Education) maana tayari unayo, bali ni mtazamo wako, unahitaji mabadiliko ya kiakili (Mindset transformation) na pia kwa elimu yako uliyonayo unapaswa kujiuliza what can you DELIVER, yaani kwa elimu yako uliyonayo unaweza kufanya nayo nini...
  12. M

    Watanzania wengi ni watu wasiokuwa na ustaarabu katika kuongea

    Tatizo si elimu wala njaa au stress, tatizo kubwa walilonalo watanzania wengi hawana maudhui (content), hawana hoja za kuleta kwenye mijadala na mazungumzo ya kawaida. Ili uwe na hoja ya kupinga au kukubaliana na jambo fulani LAZIMA UWE NA MAUDHUI (CONTENT), kama huna content huwezi kuwa na hoja...
  13. M

    Chanika panahitaji watu mashuhuri uswahili upungue

    Ungetoa ufafanuzi wa kinachojiri ingependeza zaidi, wengine hatujui nini kinachoendelea huko
  14. M

    Why Tanzania needs a New President from 2025

    Tanzania doesn't need a new President; it is the whole society that needs an overhaul in mindset transformation. It is the common people who need to change their ways of thinking, especially towards their leaders. The people have allowed and accepted their leaders to prioritize personal...
  15. M

    Kama wewe ni mwanaume na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukapewa milioni 1 hadi 3, jitafakari

    Mwanaume wa kweli kwanini uwazie kuaminika na kufikiria kwenda kukopa kwa wanaume wengine? Mwanaume wa kweli anajijengea uwezo wake wa kiuchumi ili aweze kukabiliana na changamoto za fedha na zingine yeye mwenyewe.
  16. M

    Mtanzania acha kujistress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Mediums. Kilicho mtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe pia

    You are missing a point big time, hakuna uhusiano kati ya kumsomesha mtoto shule ya EM au za kawaida, na kukusaidia akiwa mtu mzima. Kuna factors nyingi zinazosababisha mtoto au watoto wako wakusaidie ukipatwa na changamoto za afya au za kifedha. Tafuta hela uwapeleke watoto wako shule bora na...
  17. M

    Rais Samia unatukosea sana wanachi wa Kimara, Mbezi, Morocco kwenye suala la Mwendokasi

    UKWELI MCHUNGU Kwa taarifa yako, ni kwamba hakuna kitu kitakachoshindikana mbele ya serikali (IKIAMUA), UKIONA KITU KINASUASUA MBELE YA SERIKALI UJUE KWAMBA HAIJAAMUA. Serikali haina shida kutumia mabilioni ya shilingi kwa vitu ambavyo inavyotaka yenyewe. Jiulize kwanini serikali haiamui kuhusu...
Back
Top Bottom