Salaaam.
Wajumbe naomba ushauri kwa mwenye kujua kitabu ninachoweza kumpa mtoto wa shule ya msingi ili asome apate kuwa na maarifa makubwa ya kidunia (Ujasiriamali, au critical thinking)
Huu ni wakati Chadema na hasa Mbowe wanatakiwa kuwa makini sana sana na kinachoendelea ndani ya chama chao.
Changamoto zake hazisababishwi na CCM bali na sauti za ndani zinazoongezeka kutilia shaka kinachoendelea. Kama Mbowe asipokuwa makini ktk mazungumzo basi ajiandae kwa changamoto kubwa...
ndugu yangu nafikiri haujatembea sana kwenye makanisa ya katoliki hasa yaliyopo vijiji. ni jambo la kawaida sana kuwakuta watu hasa wanawake wakihudhuria ibadani na nguo (kanga au Vilemba) vya ccm zile zimeandikwa chagua ccm, chagua ... (mkapa/kikwete/magufuli) kuvaa hizi nguo wakati mwingine ni...
ndugu hata uongo kuna watu wanausomea kitaalam wanaitwa wanapropaganda.
uwezo wako ni mdogo sana katika kupotosha.
umeliona hilo gari lilopigwa kutokea kulia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwl tafadhali naomba kama unaweza kunisaidia kujua gharama za hcho kitanda mpaka kufika TZ. Mteja wangu anakihitaji kama hicho
NIMEJARIBU KUWAULIZA MAFUNDI BAATI MBAYA WAMEKUWA WASANII , MAFUNDI WAWILI TOFAUTI WAMENITUMIA PICHA MOJA INYOFANANA NA WOTE WANADAI WAMEWAHI KUTENGENEZA KAMA HICHO...
Hakuna shida kwani siku hizi DISCO' vyuoni zimetolewa?
Wacha waende kitabu kitawakimbiza unless uniambie kuwa wakufunzi wetu wanafaulisha kila aliye sajiliwa kuanza chuo lazima amalize.
Hiyo ni fursa kwa wale waliopenda kuwa madaktari lkn mazingira yakawakwamisha.
Mwl.RCT salaam,
ninatafuta kamera ya usalama ambayo ninaweza kuweka sitting room kwangu bila watu kuishtukia ili niweze kujua yanayotendeka wakati sipo hii hasa ni kwa ajili ya usalama wa watoto ninapokuwa safarini.
ningependa kama ingekuwa inaweza kuwa accessed nikiwa mbali pia kama imejaa...
HATA MIMI NAHISI HIVYO HIVYO, HAYA YOTE NI YA KUPIKA ILI SERIKALI IJIONDOE NA LAWAMA
IRUHUSU WACHUNGUZI WA KIMATAIFA KWA HAYO MATUKIO YOTE ILI TUKATE MZIZI WA FITINA TUENDELEE KUJENGA NCHI YA VIWANDA SIO NCHI YA HISIA HASI KILA SIKU
HATA MIMI NAHISI HIVYO HIVYO, HAYA YOTE NI YA KUPIKA ILI SERIKALI IJIONDOE NA LAWAMA
IRUHUSU WACHUNGUZI WA KIMATAIFA KWA HAYO MATUKIO YOTE ILI TUKATE MZIZI WA FITINA TUENDELEE KUJENGA NCHI YA VIWANDA SIO NCHI YA HISIA HASI KILA SIKU
acheni kujifanya ,mnajua kukashifu viongozi kisayansi.
kusema Rais aliyetawala mwaka 1964 anafanana kiutendaji na Rais aliyetawala 2017, ni dharau kubwa.
leo hii tukisema unafanya maamuzi kama ambayo alifanya babu yako mwak 1964, tunamaanisha nini? kama sio kukwambia wewe unaishi dunia ya...
KAMA UNA NIA YA KUELEWA NIFUATE:
1. Miaka ya nyuma kanisa lilibebwa sana na michango ya wakristu wa kutoka maeneo mengine ya dunia hasa ulaya, sio kwamba kulikuwa hakuna michango bali hatukuchanga sisi waafrica
2. kanisa linatakiwa kusambaa na kuenea kila mahali mfaano kanisa la mafia liko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.