Sehem ambayo mkoloni alituweza ni hili la dini, halafu wa- Afrika wanajifanya kuijua dini kuliko hata walioileta. Kil kitu wanahusisha na kukitazama kidini, very stupid people. Analalamika hili la mwaka mpya lkn unakuta amepanga kwa mkristu, ana ndugu wakristu, simu imetengezwa na wakristu...
Hahahahaaa Shuttle Pori bado zipo....ila Shato pori ukitembea kwa kuamua hata huchoki, ila sasa uwe umefulia, miguu inauma hadi unatamani uangue kilio kizito njiani.
Uchaguzi mmoja Daruso 2007/2008 bwana weeee, lile vibe la mgombea Odong Odwar. Akaundiwa zengwe hadi akaondolewa chuoni na kukodiwa ndege na serikali aseee
We nawe umeamua tu kukomaza fuvu, wa -Tz sijui tulipatwa na shida gani kufikiri critically. Hajasema yote yana-apply kwa nchi nzima. Lakini pia wewe umesema karibia vyote, ina maana yake kuna vichache vinakugusa. Ndo hivyo sasa, bora uwe maskini kuliko ukose akili nzuri.
Ni kwamba unajifanya hujui kwamba English haitupendi waTz ama unajua? English haijawahi kutukubali...tunapoanza kuizungumza yenyewe hukaa pembeni na kututazama kwa jicho la kejeli
Wewe hayajakukuta, lakini watu ambao tumeshapoteza ndugu kwa muda mfupi kwa changamoto hizo tunajua nini kimeongelewa. Bora ufunge bakuli lako wachangie wengi akili kuliko mipunguani kama wewe.
Hamna kitu. Huduma ovyo sana. Najiuliza hawa jamaa wanaokuja kwenye issues mtaani tukiripoti wana posho ya ziada au? Maana tatizo dogo tu plumbing mpk wamalize siku 3 au 4. Hapa tuna siku 8. Wanakuja wanaangalia na kuondoka. Nimepiga simu hadi nimechoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.