You are haunted by a spirit of death.Is not about you is about your spiritual realm.Spiritual battles are won spiritually.You need to receive Jesus Christ as your savior ASAP.He is the only one who won death.Death couldn't hold him.
Hii ni hatari GMO inaleta madhara makubwa ya kiafya na mazingira.Madhara ya kiafya ni mengi organ disruption,cancer na pia kuna uhusiano mkubwa kati ya GMO seed na autism,watoto wanazaliwa na ulemavu wa ubongo.Serikali haijajiandaa kutatua matatizo yanayoletwa na GMO,haina health facility,hakuna...
Nianze na damu kuwa blanket,Ndio Damu ya Yesu ni blanket letu ndio maana aliondoka kuja duniani kutufia msalabani.Wana waisrael waliambiwa waweke damu mlangoni ili Malaika atakapo piga wazaliwa wa kwanza wapate protection.Tunafanya hivyo hivyo leo hii ila sisi hatuchinji ndama tunatumia damu ya...
Weka kwenye freezer inayoweza kumaintain baridi ya 00°F au -18°C.Ukiweka hiyo setting maandazi yanaweza kaa hata zaidi ya three month.Ingawa utahitaji kuwa na microwave kuyapasha.
Ili yawe fresh na yasiwe magumu utapasha kwa 25 second only.Na unapasha tu kwa ajili ya kuliwa,yakishapashwa...
Ndoto ni milango ya ulimwengu wa Kiroho.Kwa ndoto unaweza kukutana na ulimwengu wa giza au nuru.Ulimwengu wa kiroho unaweza kumiliki maisha yako kupitia ndoto.Samahani nitatumia biblia kufafanua,Mfano katika biblia malaika wa Bwana alimtokea Yusufu ktk ndoto kumpa warning amuondoe Yesu...
Nenda kafanyiwe maombi hayo ni maagano tayari,Nenda kwenye makanisa ya kiroho ukafanyiwe deliverance haraka.Tayari umekuwa na connection na milango ya giza katika maisha yako.Wewe ndio unayeelewa ulichokiona na usifikiri kila mtu atakuelewa nenda kafanyiwe maombi.
Kwa jinsi maendeleo yanavyokwenda kwa haraka wacha tuende hivyohivyo kwa kuchechemea mbele ya safari tutajifunza na kujipanga zaidi,Wazee wetu walisoma zamani hizo na maendeleo yalikuwa si kama leo,Ni rahisi kuona makosa sasa sababu leo hii tuna maendeleo,tuna mawasiliano, tuna google kila kitu...
Ni kweli huu ni wakati wa kujifunza kuwa wa kimataifa zaidi.Obama kuja tz ni opportunity kubwa tumepata kimataifa kuitangaza nchi yetu,,Lakini kwa kiasi fulani hatujaitumia fursa hii vizuri haswa ukizingatia hichi ni kipindi technolojia ya mawasiliano imekuwa sana duniani.Waweza ona jinsi yule...
Jamani matatizo kama haya yakitokea tunaacha siasa pembeni mitazamo yetu ya kidini pembeni na kusaidiana.Umoja ni nguvu kubwa ina uwezo wa kumuondoa adui hata kama ni mkubwa kiasi gani.Jamani hebu tuungane kwa Umoja na Upendo tusaidiane katika hili lililotokea na kuacha uchochezi.Kumbuka...
Sijasikiliza hicho kipindi ila Freemason is worship of lucifer!Sheria zao wameziweka wazi kwa kila mtu kusoma.Read freemason rituals kwa undani,wanatumia symbols na huwavuta watu katika maagano ya damu ili wapate utajiri.Hili ni swala la ulimwengu wa roho na ukitaka kulielewa lazima uzungumze...
Iko hivi Bara na zenji ni kama mtu na mdogo wake,ukimuona dogo anapotea lazima umwonee huruma na umshauri kiutu uzima sbb mambo yasipoenda sawa baadaye atarudi tu kukusumbua!:clap2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.