Mi nadhani Chief kinachotushangaza ni namna IKULU inavyotumia nguvu kukosoa kuwa RIAS hajakwenda kuwatembelea wagonjwa ambao ni wahalifu!
Mimi sioni shida yeye kuwatembelea wahalifu ila kwa nini watumie nguvu hivyo kukosoa? Inatupa shaka sana! Historia inaonyesha mara nyingi wakikosoa hivyo...
Mimi nilipoona tu wabunge wa Makinda na Ndungai wamejaa mule nikasema napoteza muda wangu kusikiliza, takuwa napata summary za siku!
Kimsingi wanasiasa walipasaswa wawe wachache mule ndani, what is happening now, ni muendelezo wa kinachotokeaga katika bunge la Makinda.
Na zaidi ni kwamba rasimu...
Ninachoamini mimi, Sitta ni mwanaCCM na ni waziri ktk serikali ya CCM. Mwisho wa siku atajitahidi maslahi ya CCM yawe implemented. And I believe he will do it in a style, wait and you will see!
Mi nadhani taratibu za mahakama ziko clear!
Kama mtu amefariki na unafahamu kwamba alikuwa na pesa popote, say, MPesa, kwa court order hiyo account inafungwa na mirathi ikikamilika msimamizi wa mirathi anapaswa apewe pesa hizo kwa court order hiyohiyo.
Tatizo la watu waliowengi huficha kama...
Upendo hubadilisha yote! Upendo hushinda yote!
Mwambie ampende sana mume wake, na kwa sababu upendo una tabia ya kurudi (reciprocity of love) huyo mume naye atampenda tu huyo mama na kusahau wote wa nje, amini usiamini.
Tatizo la watu wengu tunapendwa kupendwa kwanza badala ya kuwa wa kwanza...
Huu mjadala unazidi kuwa mtamu. Ili kila mtu aweze kuestimate vizuri angepatikana mtaalam hapa akatupa exact or range of price for all materials required, at least unit price. Then akatupa estimates za idadi ya mbao na idadi ya bati for a given square meter(s).
Hili ni swala la kitaalam sana, si...
Wanaokwenda UPADRE ni wale walioitwa na BWANA kuwa mapadre. Wanaoenda utawa (sister, brother, nk) ni wale walioitwa na BWANA kuwa watawa. Na kundi hili la mapadre na watawa ni zuri sana, Mungu uinuliwa kupitia kwao.
Wanaoamua kuwa mapadre, mabrother, masister au watawa wengine kwa sababu...
Jamani kupaua ni gharama kuna rafiki yangu alitajiwa jumla ya 17M (ufundi, mbao, bati-ALAF, ukubwa around 15x20). Hapahapa DSM, Akaomba apunguziwe walau 14, ikashindikana. Akaahirisha. Kama huyo rafiki yangu akiiona hii post, atampigia huyu jamaa mara moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.