Ni bora tu ningeanza mapenzi hata tangu zamani, nimemkosea nini Mungu (ni huo uzinzi nilofanya nikabeba mimba?) Nakosa suluhisho hili jambo linaniumiza sana moyoni japo wanaoniona nacheka hawawezi kujua, natamani nitumie helicopter nimwagie wanaume wote petrol angani niwalipue nawaona wakatili...
usihesabu makosa, kumbuka binadamu wana mapungufu sio mmeo akikukosea basi unaweka kiburiii unapunguza upendo wanandoa hogombana sana ila baada ya kuzungumza huishi kwa upendo kama mwanzo, hakikisha chumba chako kinakuwa kisafi sana na kinakuwa na mpangilio mzuri
heshima kwa mumeo ni agizo...
hivi kumbe ukitembea na wanawake wengi ni ufahari?? wao ndio malaya ila wewe ulotembea nao sio hata kama wana ukimwi.
ukisema nimewala wengi kuwa makini pengine uneliwa wewe
hivi ukimlea mtoto wako whether ni single father au single mother unakuwa na perception unalea mtoto wa mtu??
mtoto wako ukimlea ukampa maisha bora akimtafuta babake ki mpango wao wawili haina adhari yoyote hali yakuwa keshajitambua..
wanawake wengi sio kwamba hawapendi kusaidiana na wazazi...
pale/hapa MWECAU ni bachela of edu in arts/science, but mwambie atasoma masomo yote mawili yakufundishia from first year na ni lazima sio ombi, na coz za education kwa wingi ziko palepale.
pia kama ni arts na anachukua linguistics may be na kisw/geog/history ajiandae maana linguistics wote...
jaman elimu imewakomboa kweli?? mwez wa 8 ndo huu salary haina zaidi ya siku 5 itatoka!! kwanini uanze mambe ya kuambiwa ukisubiri hyo week uone utafanyaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.