umekaa ofisini kwa nidhamu yote unasubiri kalaki 5 kako kesho kutwa kumbe wenzako hapohapo wanajikatia keki kimyakimya wanahia kwenye nyumba zao wewe unabadili mageto ya kupanga tu.
JIONGEZE hii ni nchi ya KUJIONGEZA
kuna jamaa alijua kilaza o-level yani kilaza kabisa, ila leo na yeye ana phD.
Nchi yakijanja sana hii, usipoelewa namna mambo inaenda huku utapata shida kidogo.
kinchi kidogo lakini stori miiingi, banae io ilikua GERMAN OST AFRIKA mkachomolewa kama mbavu moja ya Adam so technically Rwa na Bur ni wake zetu. Tutakuja kuwaowa tu msijali
mkuu huo uongo hata hapa kwetu unafanywa sana, mtoto ana wazazi wote wawili ila anapelekwa kituo cha watoto yatima.
hii tabia ya kuona watoto kama mtaji wa kutokea kimaisha ni mbaya sana. Usishangae hata baba aliyebaka akajitokeza kudai mwanae
kweli inasikitisha kama alibakwa ila hapaswi kumshobokea mwanae sababu alimkimbia!
wakina mama wana nguvu kubwa sana ya kuwarubuni watoto, Jolie akilogwa tu akamruhusu Zahara aongee na ***** kwa simu IMEKULA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.