WanaJF,
Unafahamu au wewe ni muuzaji wa electronics hasa laptops kwa bei za rejareja au jumla naomba kunitajia majina/jina ya maduka yanayohusika na biashara hyo hapo Dar ili niweze kufanya nao biashara.
Mimi nipo mkoani.
ticha Robby au seanrobby mdogo umri lkn ni Nouma, yaan physical chem na organic chem imelala pale,kaikamata mbeya yote. ...viva sean nawakimbiza huku skul coz of you
Kwa ufafanuz zaid ni kwamba kwa mwanamke ambaye siku za mzunguko wake hazibaliki yaani ni 28 Basi maelezo ni kama ifuatavyo:
Mfano siku ya kuanza bleed ilikuwa tarehe 31 mwezi Wa kumi basi siku ya hatari zaidi itakuwa tarehe 14 mwez wa kumi na moja ambapo yai linakuwa tayari lipo katika mirija...
Wanajf nimefungua stationary ambayo ninauza vitab mbalimbali hasa vya high school km s chand, nelcon,BS etc ila nahitaj photocopy machine, sjajua ni aina gani ndo nzur na ni kwa bei gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.