Habari wana jf.kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni mtaalamu wa afya upande wa maabara.naombeni ushirikiano wenu kwa mwenye nafasi,connection Za Kazi. tusaidiane. Ahsanteni
simu bado mpya imetumika mwezi mmoja ila inazingua kwenye kupandisha minara inabagua sehem sehem nayokaa mim inapanda flexh ndo huwa naitumia kwa kila kitu tofauti na sehem hyo haipandi wala hasomi lain yana emergence call or no service.haina tatizo lingne ila spika ilibadilishwa ila ipo pouwa...
Husika na mada tajwa hapo juu.Kwa wale waliochaguliwa au wanoenda kusoma kam collage tukutane hapa mambo muhimu yanayohusiana na chuo hicho.NAWASILISHA
Husika na kichwa cha habari tajwa.
Nataka kusomea hii kozi, vipi ni nzuri na inalipa kwenye soko la ajira? Na kwenye sekta ya afya ni nzuri?
Ushauri tafadhali.
rejea kicha cha habari hapo juu.Akaunti yangu ya gmail haifunguki.Nijaribu kuingia wanasema ukurasa haupatikani.Cjui tatizo nn kwa anaejua. hatua za kuweza kusolve hli tatzo. nawasilisha.
Husika na kichwa cha habari.
Naomba mwenye kujua aniambie masomo yanaanza lini? Je utaratibu wa kuapply upoje au ni kwenda kuchukua form?
Na je vigezo vya kudahiliwa ni vipi?
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.