Nashauri watu wawe wanakwenda makanisani na misikitini kutoa sadaka za shukrani kwenye siku zao za kuzaliwa badala ya kufanya hizo birthday parties za kujifurahisha wao, atoae zawadi ya uhai na afya ni Mungu Mwenyezi
Umesema kweli mkuu, ndio maana Nasema serikali zetu za nyuma zilikua na shida, naamini serikali hii inaliona hili kama wewe na Mimi tunavyo liona, uko sahihi
Kwahiyo Airport unayoijua Ni Dar tu? Acha hizo! Pia Mkenya huwa asemi mlima upo kwake ila husema njoo Kenya utaona au kupanda mlima, ni sentensi isiyo mfunga kisheria, serikali zetu za nyuma hazijawahi kuwa creative kwenye sekta hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.