Haya ni maandamano ya watu wasiojulikana yatakayoanzia instagram na kuishia facebook. Hebu watanzania tumwombe Mungu atupe busara na hekima apitishe mbali huu uchuro
Unajidanganya. Umeomba maoni na watu wametoa maoni yao. Sasa wewe unajitangazia ushindi pasipokuwa na mashindano. Unatisha kwa aina hiyo ya IQ uliyonayo.
Hongera kwa kuujua tatizo la mfumo wangu wa elimu ulivyoathiri IQ yangu lakini nitaendelea kuamini umeshindwa kunielews kwa kuwa mimi siyo mtu wa maneno mengi kwenye jambo dogo.
Hakuna mahali amesema aliamua kuzaa na Ray ili waoane au alikuwa anatafuta mtoto kwa ray wakati alipokubali kufanya tendo la ndoa. Hivyo waachwe wahandle hiyo situation kama wanavyoona inafaa. Usihukumu.
Wakuu nisaidieni kuna tofauti gani kati ya maandamano na kuzurura? Maana wote mnatumia barabara na mwisho wa siku mnarudi nyumbani mikono mitupu na viungo vilivyochoka. Naombeni mnisaidie maana mkinishawishi naweza kesho nikaanza kuandamana peke yangu alfajiri mpaka nitakapojisikia nimechoka.
Suala hapa si nani kafyatua risasi. Suala ni roho mbaya kiasi gani kwa binadamu kufanya kitendo kinachosababisha mauti kwa mtu asiyekuwa na hatia. Hii roho ya kutaka kuua kwa jambo ambalo halina mashiko ni aibu au ni woga uliovuka mpaka. Kwa nini Watz tusijifunze kwa wenzetu wa kenya. Hivi ni...
Yaarabi akupunguzie jazba akujaalie moyo wa uvumilivu na hekma upate kukubali kuwa Julius Kambarage Nyerere Mtoto wa chief Burito atabaki na ataendelea kuwa BABA WA TAIFA LETU MIMI NA WEWE.
Damu mchangayiko Oman unawaita waafrika na hiyo damu ya kiàrabu inaonekana wapi? Nasikia huko zanzibar kuna nguzo ya jengo yenye vichwa vya watu wale wenye nywele za kipilipili. Nimesema nasikia sijashuhudia.
Wanawake mlioolewa au wasichana mlio na wapenzi msikubali kuchepuka. Oneni madhila mnayowapa hao mnaochepuka nao. Hata kama mwanamke umetongozwa kataa na hakuna haja ya kumwambia mumeo kwani ukikataa unakuwa umekata mzizi wa fitna.
Wastara ni binadamu na ana hisia. Inawezekana alijitonesha wakati anacheza.Ana haki ya kuomba msaada na waliomsaidia wamefanya jambo jema. Sisi ambao hatukumsaidia tuendelee na mambo yetu kama kawaida yetu.
Mbona jamaa anazungumzia wajasiriamali wa imani na walishaji kwa kutumia mahindi alafu anawaona kama watu wa chini? Wajasiriamali wa kweli hujua lilipo soko ya bidhaa husika. Matajiri wa kweli wapo mbagala kusikotokea maji ya mvua kujaa na kuingia kwenye majumba ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.