Nawasalimu kwa kina la Jamhuri ya Muungano,
Kumekuwa na utaratibu wa serikali tangu mwaka 2017 kuajiri walimu wa sayansi na hesabu tu,ikitokea arts imeguswa basi ni Kiingereza pekee hali hii imefanya idadi ya walimu wa masomo mengine ya arts kuzidi kupungua mashuleni na hata kama hawapungui...
Nilipata changamoto kubwa sana first born alipoanza shule,kila tukitunza ada na mwenzangu ilikua haitunziki hata tukipata ka tatizo kadogo tunachukua hapo hapo vichwa viliuma kwelikweli.
Tulijitahidi Hadi kuweka kwa watu lakini ka pepo ka si Kuna hela kwa fulani hakakutuacha salama,ikabidi...
WALIMU wa shule ya msingi Kianda wameanza mgomo wa siku mbili wa kutofundisha shuleni hapo huku wakilaani kitendo cha Ofisa Elimu (Shule za Msingi) wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Peter Fusi kumshambulia na kumpiga makofi mwalimu mwenzao akiwa darasani mbele ya wanafunzi...
Salaam,
Naamini watanzania wengi tunapenda nchi yetu isonge mbele, na hili linaweza kubebwa vyema kama elimu yetu itakuwa kwa ajili ya kutukomboa
Hivyo basi tuungane katika kushauri serikali, wanafunzi na wote wanaohusika, nini kifanyike ili elimu yetu isaidie vizazi vyetu, mimi ntaanza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.