Naungana nawe Doroth, hii sherehe ilikuwa na bajeti ya fedha za kitanzania shilingi milioni hamsini. Tena kwa siku tatu, mbili za mwanzo na kilele chake leo; nimeshiriki katika kamati ya maandalizi.
Hongera kwa wazo zuri na maono. Mimi niafuga hao vitimoto, na mpaka sasa nimefikisha kama 250 hivi. Kitu muhiimu sana nachoweza kukuambia ni chakula, hao wanakula usiombe, madawa, yaani kuwepo na mtaalam ambaye anakuja kuwaona angalau after every two weeks, minyoo inawafanya wadumae sana...
Hujanikaba kiongozi wangu, mimi siongei story tuu, ni ukweli na uhakika,
ona haopa:
(a) Kampuni-PR TRIPPLE COMPANY LIMITED,Reg.118286,hii ni tarehe 24/6/2015
(b)NGOs-WEZA ACTION FOR DEVELOPMENT,Reg.118287,hii ni tarehe 24/6/2015
Ingia Brela ujionee, ingiza jina itakupa na taarifa za...
Kweli pongezi nyingi sana kwa Busiminet. Mimi binafsi nimefaidika nao. wamenisajilia kampuni na NGO ndani ya siku saba tu. Siwafahamu kwakuwaona, zaidi ya kuwasiliana kwa simu ya mkononi na e mail. Nimefanya malipo yalipohitajika, nimetuma taarifa zote zilizohitajika na sasa nina kampuni yangu...
Jamani, huyu Lowassa ameingia madarakani akiwa tajiri tu!!!!!!!!!Kama kaongezea mali basi kaongeza ila hakuwa masikini.
Ila tuseme ukweli tuweke itikadi zetu na vyama vyetu pembeni. Jamani Lowasa ni JEMBE! N i kiongozi ambaye ni tallented, nakumbuka alipokuwa waziri mkuu, alikuwa akienda mahali...
Yaani wakuu mara nyingi huwa wanajamvi tunajikuta kumesahau kuchangia thread husika na kuanza kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, ni vema tuchangie hoja ili kuleta manufaa na kutoa ufafanuzi pale tunapoweza kwa manufaa ya nchi hii. otherwise hayo hayatusaidii kwakweli
Ndugu umenena ukweli mtupu, unajua historia yake, nimekubali. Nakumbuka enzi hizo tulipokuwa shule ya msingi kulikuwa na usemi maarufu sana kwamba... Tuntemeke sana alimbhaha, asomile kuliko unyerere- maana Tuntemeke sana ni mkubwa, kasoma kuliko Nyerere, alikuwa vizuri kwakweli!
EHHHH Jamani, wanaume wote wangekuwa na moyo kama wapo kaka yangu, hata asiposaidia kazi kama wewe ila muelewa angalau tuuu, mbona ndoa zingechanua kila siku!!!!!!!!!!! Wenzio wengi wanawaza kuonja kila mahali tuuuuuuuuuuu hawatosheki, mbaya sana!
Pamoja na ukweli kwamba wanawake kunakujisahau, ila wanaume jamani ukwareeeeee muache, yaani hata ukiweka mipaka na kufanya mambo yako kwa uzuri na kutimiza wajibu kama mke, mhhh bado jamaa ni kumkodolea beki 3 mpaka inaudhi yaani jamani sasa lipi jema
Wapo wanaume wana mahusiano na...
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
Whaat?? Yaani unadiriki kufikisha hapa??? Wewe unamtaka, achan kabisa mzaha, utaharibu ndoa, wajua watu hatujui umuhimu wa ndoa mpaka ikiharibika ndo utajua, acha izo kabisaaaa!
Wanaume bwana, hata ukiwabebe mgongoni wanateleza, hata sijui tuwafanyie nini?? Enzi za utumwa zimepita kumbika, ukitaka raha toa raha pia uaminifu una matter sana! siwezi kufanya vimbwangaaa nikijua fika una gawa hovyooo! roho inazimia jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.