Habari ndugu zangu, mimi nina Girlfriend wangu tumekuwa pamoja kwa muda wa mwaka mmoja sasa.
ki ukweli nimetokea kumpenda sana binti huyu hasa kutokana na uhusiano wetu na jinsi nilivomkuta akiwa hajawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote, tofauti yetu ni dini yeye ni msabato nami mlutheri...
nafikiri ndio maana hawakutangaza walitaka kwanza kuangalia ni wangapi watapita katika kuchaguliwa then waongezee na viti maalum, lakin hili la kupeleka kule ambako bado kumepoa ni lamsingi sana kama vile lindi, mtwara na dodoma ili kupeleka chachu ya maendeleo.
Ni kweli mahanga alikamatwa na mabox ya kura..?, kama ni kweli amechukuliwa hatua gani..?, mbona yule aliyekamatwa na karatasi 2 shinyanga amefungwa miaka 3, na vipi aliympatia hiyo karatasi amechukuliwa hatua gani..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.