Search results

  1. Nyanda lunduma

    Tatizo la kujing'ata ulimi ukiwa usingizini na dawa yake

    Habari ndg zangu. Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo. Naombeni msaada wenu
  2. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Nakuja boss Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  3. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Sina pori mkuu ila kikwapa kinatema mkuu
  4. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Wakuu nisaidieni dawa, ziwe za mitishamba au za kitaalamu kundoa hili tatizo la kunuka kwapa mpaka naona aibu kuwa na wezangu karibu , nimejaribu kutumia tangawizi, limao na asali kwa kusaga na kuweka kwenye kwapa lakini tatizo bado.Msaada ndugu zangu
  5. Nyanda lunduma

    Nina tatizo la macho kuwasha

    Asante sana nimeona unafuu kabsa
  6. Nyanda lunduma

    Nina tatizo la macho kuwasha

    Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu. Naombeni msaada.
  7. Nyanda lunduma

    Amemkuta mke wake ana ujauzito wa wiki tatu wakati hakuwepo miezi miwili

    Nilipomuuliza jamaa kwamba kwanini ameamua afanye hivyo, mwanamke alimwambia haamini hata yeye alipoenda hivyo alipitiwa tuuu
  8. Nyanda lunduma

    Amemkuta mke wake ana ujauzito wa wiki tatu wakati hakuwepo miezi miwili

    Ndudu wana jukwaa ni kwamba ni rafiki yangu ambaye kazi yake ni mvuvi wa samaki, amekuja kwangu kuomba msaada wa kimawazo kuwa yeye alitoka kwenda kuvua samaki, familia yake akawa ameiacha, Alimuacha mke wake na mtoto wake mmoja, huko alikaa miezi miwili na baada ya kurudi tuu alimtilia mashaka...
Back
Top Bottom