Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Habari ndg zangu.
Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo.
Naombeni msaada wenu
Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo.
Naombeni msaada wenu